Ipole... hata mimi namuunga mkono shy sioni mantiki ya Big Ben eti ajitokeze ajibu tuhuma sana sana itakuwa kuleta mijadala ambayo haitakuwa na mwisho wowote wa maana sana sana kuuza magezeti ya watu tu. Nilichotegemea mimi kwa kuwa hizo tuhuma za ufisa za Big Ben na kimwana wake zinaeleweka kwani zimekuwa zikuzungumzwa sana ni kwa serikali kupitia mahakama wamuweke kolokoloni Big ben na huko ndiko sehemu muafaka ya kujibu hizo tuhuma na kama atasema NDIO au HAPANA mahakama itaamua. Kwani leo akijitokeza akasema sikufanya mtamfanya nini?? wakati nyie mnajua na mna uhakika kabisa amefanya?? Tuwe na mawazo mapana zaidi ndugu zangu..