beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Baraza la Michezo nchini(BMT) limeitaka Yanga kufanya uchaguzi na usimamiwe na TFF kwani Kamati ya Uchaguzi ya Yanga haijitoshelezi
Aidha, limeamuru Wanachama wote wasio na kadi kwenda kwenye matawi yao kujisajili ndani ya wiki tatu kuanzia sasa
Vilevile BMT imelitaka Shirikisho la Soka nchini(TFF) kuchagua tarehe ya uchaguzi na itangazwe mwezi huu
Katika uchaguzi huo, nafasi zitakazojazwa ni pamoja na ya Mwenyekiti iliyokuwa ikishikiliwa na Yusuf Manji
Aidha, limeamuru Wanachama wote wasio na kadi kwenda kwenye matawi yao kujisajili ndani ya wiki tatu kuanzia sasa
Vilevile BMT imelitaka Shirikisho la Soka nchini(TFF) kuchagua tarehe ya uchaguzi na itangazwe mwezi huu
Katika uchaguzi huo, nafasi zitakazojazwa ni pamoja na ya Mwenyekiti iliyokuwa ikishikiliwa na Yusuf Manji