Blue screen kwenye simu ya LG G3, tatizo nini?

Elviejo

JF-Expert Member
Jun 1, 2012
368
193
Salaam wandugu, Nilikuwa nina type text, ghafla ika display blue screen kwenye kioo na kuzima. nikajaribu kuwasha inawaka kwenye ile logo ya lg then blue screen inatokea na kujizima. nikatoa betri na kurudisha, kujaribu kuwasha bado blue screeen. Tatizo ni nini? na lina solvika?
 
Salaam wandugu, Nilikuwa nina type text, ghafla ika display blue screen kwenye kioo na kuzima. nikajaribu kuwasha inawaka kwenye ile logo ya lg then blue screen inatokea na kujizima. nikatoa betri na kurudisha, kujaribu kuwasha bado blue screeen. Tatizo ni nini? na lina solvika?
Mkuu vipi, uliiangusha au ....... maana kwa kiwango changu cha hii kazi inaniambia kuna uwezekano DISPLAY imeenda zao na inabidi kuwekwa nyingine au kama HAIJAANGUKA basi yaweza kuwa inataka UIFLASH.
 
Mkuu vipi, uliiangusha au ....... maana kwa kiwango changu cha hii kazi inaniambia kuna uwezekano DISPLAY imeenda zao na inabidi kuwekwa nyingine au kama HAIJAANGUKA basi yaweza kuwa inataka UIFLASH.
nishaiangusha angusha saaana ila kwa wiki hii haijaanguka wala kugongweshwa sehemu yeyote.
 
Back
Top Bottom