Bloomberg: Tanzania hatarini kuondoka IMF kwa kuvunja sheria ya shirika hilo kwa kukataa kutoa/kuchapisha taarifa

hamna hao ni mabeberu wa piga dili tu!! mh mtukufu kawashika pabaya wanahangaika. .....hela za ndani tu nazo wasitubabaishe. .....in musiba voice
 
Yaani hayo mabeberu ndio yaje kutuambia hali ya nchi ikoje ??

Ni sawa umruhusu jirani mnayegombea nae mipaka aje kukuambia hali ya familia yako.
 
Mshamba na limbukeni kapewa hela, ukitaka kumjua mtu mshamba mpe hela nyingi ndiyo utamuona
Mabeberu wasitubabaishe. Hata wakituondoa hakuna shida. Jeshi litasimamia uchumi na mambo yataenda poa. JPM shikilia hapo hapo. Tuko pamoja. Uchumi wetu unakua 7% eti wao wanasema 4%! Njama za mabeberu hizo. Usikubali ripoti ya IMF ichapishwe!
 
Mku haya huwa hayaji pasipo sababu Sudani ilikuwa ni Mkate yaani Mkate umemuondoa Rais mwenye Jeshi kubwa tuu madarakani.
Tumwombe Mwenyenzi Mungu tu anusuru sio binadam kwani kwa wale wanaojua Mihemko hawawezi kulibicha hili la kumwomba Mungu atunusuru.
Mkate ilikuwa sababu kianzio Lkn alikuwa washamchoka.Ukisomesha sana watu no ili upate Furaha mwisho lzm uisome mwenyewe
 
funguaa website ya IMF, sometimes tuwe tunabadilika tusipende kuweka ushabiki wa vyama kuliko nchi. .hii nchi si ya ccm wala chadema nivizur ukafanye research kwanza ya hizi taarifa sio kaleta ushamba wa vyama
Bloomberg hawa wa fake news?
Nashauri chadema wakafungue mashtaka mahakama ya afrika mashariki waishitaki serikali tena.
 
Msukuma kupewa nchi ni laana kubwaa

Hao hawafai Kazi za kutumia akili reason ufaa Kazi za matumizi ya nguvu,jiulize kwann mkoloni akuwaendeleza kielimu aliona ni hasara hata wasome vipi ushamba hauwatoki.Aliwatumia kwenye Kazi za mashambani na makuli kubeba mizigo.Hizi za akili hawawezi.
 
Then wanategemea mwenkezaji aje alete pesa zake?
Thubutu.

Hapa watakuja baada ya Magufuli kuondoka.

Either tukinukishe manake mambo yatabana mpaka basi

La sivyo we have 6 damn years of suffering kujipendekeza kama Congo ya mobutu style.

Mkinukishe?????? na kina nani???? unahisi yupo mtakaekua nae????? we huwajui wabongo wewe hasa WATANZANIA.
 
Then wanategemea mwenkezaji aje alete pesa zake?
Thubutu.

Hapa watakuja baada ya Magufuli kuondoka.

Either tukinukishe manake mambo yatabana mpaka basi

La sivyo we have 6 damn years of suffering kujipendekeza kama Congo ya mobutu style.
Ukinikushe sababu imf wanasema au wananchi wanateseka. Mbona mm naona stadiums zinajaa, bia zinauzika kama kawa, elimu ndio bure, bei zipo palepale, misosi ya kutosha, watu wanalipwa mishahara yao, infrastructures zinajengwa, hizi kelele ni za nini?
Kama wananchi wanateseka wangeandamana kwenye maandamano yaliyopangwa huko nyuma.
Kakinukisheni sasa.
 
Nadhan hakusoma hiyo sentensi au kingereza kimepita kushoto
Na hawa nao ni wa fake news?

“The unreleased report, seen by the Financial Times, warned of “unpredictable and interventionist policies that worsen the investment climate and could lead to meagre [or even negative] growth” in east Africa’s second-largest economy.
 
Back
Top Bottom