Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Wakitutoa tutakopa Morocco na china, au tutapeleka jeshi
Na mwisho tunawapa Wachina Serengeti tembo na faru wote watauliwaWakitutoa tutakopa Morocco na china, au tutapeleka jeshi
WABONGO WANATAKA WENGINE WAFANYE KWA AJILI YAO..WAKINUKISHE WENGINE WAO WAMELALA NDANI NA WAKE ZAO...Then wanategemea mwenkezaji aje alete pesa zake?
Thubutu.
Hapa watakuja baada ya Magufuli kuondoka.
Either tukinukishe manake mambo yatabana mpaka basi
La sivyo we have 6 damn years of suffering kujipendekeza kama Congo ya mobutu style.
Mshamba na limbukeni kapewa hela, ukitaka kumjua mtu mshamba mpe hela nyingi ndiyo utamuonaWatuondoe tu maana Jiwe kazidi!
Kwa taarifa hizi,wawekezaji wenye akili hawawezi kuja kuwekeza kwenye Taifa la aina hii!
Nasema tukomeshweeeee mpaka tukome ili watu akili ziwakae sawa labda watajirekebisha ...hii nchi imekua ya hovyohovyo sana
KabisakabisaAcha tukomeshwe tu labda haya majuha yanayomsujudia na kumpigia makofi huyo mwendawazimu ndiyo yatatia akili kichwani.
Wajue misaada wanayotupaAcha tukomeshwe tu labda haya majuha yanayomsujudia na kumpigia makofi huyo mwendawazimu ndiyo yatatia akili kichwani.
Na farting hata wakiminya sauti, harufu itawaumbuaUshamba ni mzigo, hawakujua baada ya kula kuna farting