Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
It was one phone call from the Governor that iliyosababisha damu za watu kuamwagika. Leo hii wamarekani wanashuhudia Rais wa nchi hiyo kutoka miongoni mwa weusi.
Nakumbuka mauaji ya Arusha, Mwangosi - Iringa, Morogoro na Juzi mbagala, Pro Lipumba walivyoshambuliwa na Policcm. "You know I love you back" Changes are coming, ccm jiandaeni kuwa history
Nakumbuka mauaji ya Arusha, Mwangosi - Iringa, Morogoro na Juzi mbagala, Pro Lipumba walivyoshambuliwa na Policcm. "You know I love you back" Changes are coming, ccm jiandaeni kuwa history