Salum mgombe
Member
- Jan 14, 2020
- 22
- 12
Hii adsterra ni hatar ee, wacha nianze sema kama kuna setup za muhimu kwenye hii adsttera ili kuongeza revenue basi tushee kwa pamoja hapa washkaj zanguNjia za kushea ni hizo hizo.. Adsense wamekuwa wapuuzi sana achana nao. Hela ipo adsterra kwa sasa!
Sent using Jamii Forums mobile app