Superpower
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 826
- 912
Wakuu ni hivi,
Mimi Ni kijana ambaye bado natafuta hivyo kutokana na mapambano ya huku na kule.
Sasa sahizi nimeamua nikomae na kazi za online lengo ni kwamba iwe kazi ambayo itakua inanipa backup nitakapoanza biashara nyingine hivi wakuu nitawezaje kufanya hichi kitu full time katika chumba cha kupanga na hofia kuleta tafrani maana jamii bado ina ugeni na mambo haya.
Mimi Ni kijana ambaye bado natafuta hivyo kutokana na mapambano ya huku na kule.
Sasa sahizi nimeamua nikomae na kazi za online lengo ni kwamba iwe kazi ambayo itakua inanipa backup nitakapoanza biashara nyingine hivi wakuu nitawezaje kufanya hichi kitu full time katika chumba cha kupanga na hofia kuleta tafrani maana jamii bado ina ugeni na mambo haya.