benjavibe
Member
- Aug 13, 2019
- 11
- 5
Naomba kufahamu mambo haya wakuu.
1. Jinsi ya kuifanya post yako katika blog/website ionekane TOP kwenye Google pindi utakapo post?
2. Jinsi ya kupata pageViews wakutosha yaani traffics katika Blog.
3. Jinsi ya kupata PESA kupitia Blog / na mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram , Twittet , Tiktok, Whatsapp
Naomba kwa Xperts wanisaidie ujuzi ni kusaidiana
1. Jinsi ya kuifanya post yako katika blog/website ionekane TOP kwenye Google pindi utakapo post?
2. Jinsi ya kupata pageViews wakutosha yaani traffics katika Blog.
3. Jinsi ya kupata PESA kupitia Blog / na mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram , Twittet , Tiktok, Whatsapp
Naomba kwa Xperts wanisaidie ujuzi ni kusaidiana