Mavurunza
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 230
- 163
Wakati BNB inazinduliwa ilikuwa ngapi? Sasa hivi iko ngapi? Kuna aliyejua kwa uhakika itafika ilipo? Je baada ya miaka kumi itakuwa wapi? Kwa upande wa RENEC ni suala la muda tu. Inaweza kuwa baada ya miaka michache au baada ya miaka mingi. All in all kwa sasa unazipata bure ukiwa na bundle la kufungulia app tu.Achana na ndoto za alinacha wewe...
Unategemea RENEC ifikie thamani ya dollar elfu moja kimchezomchezo.
BNB yenyewe pamoja na kuwa strong mpaka leo bado inacheza kwenye $300.