Bleeding kwa muda wa siku 5+ baada ya kuweka vijiti vya uzazi wa mpango

Xoldier

JF-Expert Member
Mar 27, 2017
420
152
Habari zenu wakuu, ni wiki ya tatu sasa tangu mke wangu aweke vijiti vya uzazi wa mpango, lakini kuanzia tarehe 01/01/2019 amekuwa kwenye mzunguko wa damu kwa mwezi(hedhi) hadi hivi leo na bado zinaendelea kutoka. Hali hii imekuwa ikimsumbua hata kukosa nguvu wakati mwingine kwa kuwa damu zinazotoka ni nyingi.

1. Je, kuna tatizo au kuna kitu hakipo sawa kwenye matumizi ya njia hii ?.
2. Iwapo ni tatizo, nini kifanyike kumsaidia ?.
 
Alifanyiwa uchunguzi wa kina kabla ya kuwekwa vijiti??? Njia nyingi za uzazi wa mpango hasa vijiti na dawa sio salama kwa kila mwanamke, zinaweza kumsababishia kero na kuharibu kabisa afya yake. Fatilia kwa karibu ikibidi vitoe sio salama sana kiafya.
 
Alifanyiwa uchunguzi wa kina kabla ya kuwekwa vijiti??? Njia nyingi za uzazi wa mpango hasa vijiti na dawa sio salama kwa kila mwanamke, zinaweza kumsababishia kero na kuharibu kabisa afya yake. Fatilia kwa karibu ikibidi vitoe sio salama sana kiafya.
Nashukuru kwa hilo, nadhani una shauri nirudi tena kwenye kituo kurudisha feedback
 
Nashukuru kwa hilo, nadhani una shauri nirudi tena kwenye kituo kurudisha feedback

Rudi kituoni. Naelewa hawatakubali kirahisi kuviondoa bali watakupa matumaini kuwa hali itakuwa nzuri baadae. Ukweli ni kwamba alitakiwa kuchekiwa kwa undani zaidi ya kupima presha tu kabla hajawekwa na hilo huwa hawalifanyi. Ukiona vipi nenda kwa private kwa dr wa wanawake atamcheki na kukupa ushauri zaidi.
 
Rudi kituoni. Naelewa hawatakubali kirahisi kuviondoa bali watakupa matumaini kuwa hali itakuwa nzuri baadae. Ukweli ni kwamba alitakiwa kuchekiwa kwa undani zaidi ya kupima presha tu kabla hajawekwa na hilo huwa hawalifanyi. Ukiona vipi nenda kwa private kwa dr wa wanawake atamcheki na kukupa ushauri zaidi.
Ngoja nichukue hatua mkuu
 
Muulize mke wako lazima atakwambia kua, alipo chagua njia hiyo ya uzazi wa mpango
Lazima aliambiwa mabadiliko madogo atakayo yapata baada ya kuweka, likiwemo hilo kwamba atakua na mfululizo wa kutokwa na damu ukeni (irregular frequent vaginal bleeding), itaenda hivo hata had mwezi hivi
Inaweza kukata alafu baada ya siku nne tano hiv aka bleed tena

Na pia ikija kukata mazima anaweza akawa anapitisha miezi bila kuziona siku zake kabisa.

Note: kikimletea shida sana, anatakiwa kwenda kubadili njia, na kuanza njia nyingine ya uzazi wa mpango.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muulize mke wako lazima atakwambia kua, alipo chagua njia hiyo ya uzazi wa mpango
Lazima aliambiwa mabadiliko madogo atakayo yapata baada ya kuweka, likiwemo hilo kwamba atakua na mfululizo wa kutokwa na damu ukeni (irregular frequent vaginal bleeding), itaenda hivo hata had mwezi hivi
Inaweza kukata alafu baada ya siku nne tano hiv aka bleed tena

Na pia ikija kukata mazima anaweza akawa anapitisha miezi bila kuziona siku zake kabisa.

Note: kikimletea shida sana, anatakiwa kwenda kubadili njia, na kuanza njia nyingine ya uzazi wa mpango.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes aliambiwa, je, miongoni mwa hayo ni hii hali ya sasa ?.
Nini afanye ku maintain blood maana hukosa nguvu kwa kuwa damu inatoka nyingi mkuu
 
TUMIENI CONDOM AISEEE, HIZO NJIA NYINGINE SIO, JAPOKUWA WANAWAKE WENGI HAWAPENDI CONDOM
 
Back
Top Bottom