Blaza Ontario popote pale ulipo, Mungu akubariki aisee!

achana na hayo makaratasi hapo ju hahaa iyo verse tamu mno chalii angu haina kwere mi nishayalokia kwenye kabati kama ukumbusho
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura na namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker.

JISAJILI SASA
Usisite kuomba msaada

TemplerFX | Promo
 
Ontario si ndo kasepa na mshiko
Acha awapige hao mafal .....tu mkuu
Kama kasepa itakuwa safi sana watu washazoea mteremkoooo.....
Ebwana fr....nmeskia serikali soon wanafungua export so tutaanza mishe zetu zile

Ova
 
1. Usimwamini mtu bali mpende,

2. Usimuogope mtu bali mheshimu.

Forex sijawahi kuifanya na sitokuja kuifanya nafanya mambo mengine zaidi.
( be different )
 
Hellow wakuu!
Kwa wale wanaoumizwa na makato ya benk pale unapoweka hela na kutoa kutoka kwa broker , nawashauri wamtumie huyu broker Templer FX Trader , yeye anakubali transactions kwa njia ya M-PESA means unadeposit na kuwithdraw kwa M-pesa bila kupitia Bank, hafu no makato ... Ukiwa na $50 kwa broker unahitaji kuzitoa utapokea kwa kila dola 1 thamani ya Tsh 2,230/= so piga hesabu $50 zidisha kwa 2230 utapokea Tsh 111,500/= .. Tofauti na ukipitia bank , ,, mfano bank ya FNB Ukihitaji uweke kwa broker isome $100 inabidi udeposit maxmum $125 , hapo kwa mt4 yako itaonekana $100,,, hyo inayobaki ni makato pamoja na exchange rate yao kwa siku hyo,,

Bank ya equity wanakata km Tsh 18,000/= ($8.1) kwa transaction yoyote utakayoifanya kwenda na kutoka kwa broker,,

Haya makato unaweza kuyakwepa kwa kumtumia huyu broker Templer FX Trader ambapo transactions zote utazifanya kwa njia ya M-pesa bila makato yoyote na kwa muda mfupi.
Pia minimum deposit ni $1 pia minimum withdraw ni $1 kwa M-pesa.
Hasumbui kuverify documents zako inachukua around 24hours utakuwa verified . unachohitaji kuwa nacho ni kitambulisho kimojawapo kati ya hivi (cha kura,uraia,passport, au lessen)
Unaweza kumcheck kupitia website yake hii Templer FX Trader then unaingia open account , .. Huyu ni broker mzur kwa wale wanasumbuka na mitaji , pia hata km huna akaunt bank you can trade forex bila matatizo........
Mkuu mbona unatafuta commission kwa nguvu hivi embu chill kidogo Basi matangazo yamezidi...miluzi mingi humpoteza mbwa wacha watu waamue wenyewe
 
Hellow wakuu!
Kwa wale wanaoumizwa na makato ya benk pale unapoweka hela na kutoa kutoka kwa broker , nawashauri wamtumie huyu broker Templer FX Trader , yeye anakubali transactions kwa njia ya M-PESA means unadeposit na kuwithdraw kwa M-pesa bila kupitia Bank, hafu no makato ... Ukiwa na $50 kwa broker unahitaji kuzitoa utapokea kwa kila dola 1 thamani ya Tsh 2,230/= so piga hesabu $50 zidisha kwa 2230 utapokea Tsh 111,500/= .. Tofauti na ukipitia bank , ,, mfano bank ya FNB Ukihitaji uweke kwa broker isome $100 inabidi udeposit maxmum $125 , hapo kwa mt4 yako itaonekana $100,,, hyo inayobaki ni makato pamoja na exchange rate yao kwa siku hyo,,

Bank ya equity wanakata km Tsh 18,000/= ($8.1) kwa transaction yoyote utakayoifanya kwenda na kutoka kwa broker,,

Haya makato unaweza kuyakwepa kwa kumtumia huyu broker Templer FX Trader ambapo transactions zote utazifanya kwa njia ya M-pesa bila makato yoyote na kwa muda mfupi.
Pia minimum deposit ni $1 pia minimum withdraw ni $1 kwa M-pesa.
Hasumbui kuverify documents zako inachukua around 24hours utakuwa verified . unachohitaji kuwa nacho ni kitambulisho kimojawapo kati ya hivi (cha kura,uraia,passport, au lessen)
Unaweza kumcheck kupitia website yake hii Templer FX Trader then unaingia open account , .. Huyu ni broker mzur kwa wale wanasumbuka na mitaji , pia hata km huna akaunt bank you can trade forex bila matatizo........
Nyie ndo mnachafua forex badala mtafute pesa kwa kutrade mnasambaza malink hovyo mpate pesa
 
  • Thanks
Reactions: 911
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

TemplerFX | Promo
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

TemplerFX | Promo
 
Kwa wale wenzangu n mm tuckuwa n mitaji ya kuanza kutrade plz pm me kuna bonus free kabisa hauhitaj kudeposit ili utoe faida yako...ukipata faida ww unatoa tu n kuanza kutumia kwa mambo yako...bonus hii itakusaidia kuicheck strategy yako kma ipo poa huku unatengeneza pesa na pia itakusaidia kutengeneza confidence kwenye soko...ukipata mtonyo unasonga nao mbele zaid
 
Chalii yangu sikia nikuchane....

We dogo nilisikia ulisema we ni mtu wa kutoka Musoma??
We ni mkurya, mjita? Achana na ukabila... Twende kwenye pointi...

Boy unajua mimi ni katika wale vijana tuliobahatika kumaliza ma vyuo tena kwa ma GPA makali tukiwa na theory kuwa kama hakuna wa kukushika mkono kwenye industry basi "
only GPA will back up you kwenye ajira"

Huu hapa ushahidi, hatuongei Fyoko Fyoko chalii yangu:


View attachment 600365

View attachment 600367

Achana na hayo ma karatasi hapo juu... Elimu pesa, GPA mbwembwe tu.
Boy, unajua mie ni Engineer?? Achana na hawa ma Graduate Engineer, mie ni Proffesional Engineer kabisa nimesajiliwa na ERB na Reg No yangu ni PE17X2 (hapo kwenye X nimeficha kwa usalama wangu).

Sasa Chalii yangu nadhani mpaka hapa hujaelewa lengo langu nini au sio??
Haina kwere... Ngoja nimalizie verse yangu ya mwisho then Chorus utamalizia mwenyewe:


Boy, pamoja na Uinjinia wangu huu, ma GPA makali, kusoma ma spesho school, kutoka na ma Division One ya Point tatu secondary (ngoja nikuoneshe na hii nilikua nimesahau Boy)

View attachment 600370

Umesikia chalii pamoja na hizo mbwembwe zote hapo juu, mshahara naopokea ulinifanya niwe moja kati ya Machaliii waliohisi kukata tamaa ya maisha duniani, kuichukia elimu, kuona kama kwenda shule nilipoteza muda wangu bure....
Mshahara unapata unawaza nitajenga lini, gari, sijui nioe mwaka huu sijui mwakani...

Chalii ulipokuja na idea yako ya [HASHTAG]#ForNoReason[/HASHTAG] ulitufungua mimacho yetu wengi sana...
Achana na kina Complex, Bavaria na Al-Watan waliokua tayari wanajua "Samthingi abauti Nathingi". Mie nilkua mweupe peeee....


Unajua hakuna siku nilochukia kama siku unamjibu boya Mberoya kuwa:
"Mshahara wako wa Mwezi mzima mie naupata ndani ya saa moja"

Achana na hiyo, kuna siku ukasema:
"Nikaingiza mshahara wa manager wa Bank, nikazima Laptop nikalala"

*****.... Chaliii namalizia verse yangu (usisahau kuimba Chorus):
Baada ya kutinga pale Mjengoni Jangid Plaza (session ya kwanza Group 2 nilikua napenda kukaa kiti cha mbele kabisa) last week nimeingiza mshahara wangu wa mwezi mzima ndani ya Week...
Ndio naanza chalii yangu, napambana nifikie point ya Kuingiza Salary yangu ndani ya siku tatu.
Japo Sina mpango wa kuacha kazi yangu sababu ndio Profession yangu (nimeisomea miaka 17 *****)
Ngoja nisave save ki salary changu niongeze kwenye Capital yangu boss...

View attachment 600380

Halafu yule Secretary wako yuko poa sana... Anapiga kazi fresh kabisa...
Nikifikia lengo langu la kuingiza Salary ndani ya siku tatu, nitakua nakurushia 10% umpe kila mwezi...

ONTARIO eeeeeh... Machalii wa Kijenge Juu wanakwambia we ni Nyoooko...

Mungu akubariki, Mungu ibariki TMT.
[HASHTAG]#ForNoReason[/HASHTAG]
Nimekupenda una maakili sio ya nchi hii. Be blessed
 
Kwa wale wenzangu n mm tuckuwa n mitaji ya kuanza kutrade plz pm me kuna bonus free kabisa hauhitaj kudeposit ili utoe faida yako...ukipata faida ww unatoa tu n kuanza kutumia kwa mambo yako...bonus hii itakusaidia kuicheck strategy yako kma ipo poa huku unatengeneza pesa na pia itakusaidia kutengeneza confidence kwenye soko...ukipata mtonyo unasonga nao mbele zaid
Hizi bonus ni kupiteza mda tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom