Blaza Ontario popote pale ulipo, Mungu akubariki aisee!

Chalii yangu sikia nikuchane....

We dogo nilisikia ulisema we ni mtu wa kutoka Musoma??
We ni mkurya, mjita? Achana na ukabila... Twende kwenye pointi...

Boy unajua mimi ni katika wale vijana tuliobahatika kumaliza ma vyuo tena kwa ma GPA makali tukiwa na theory kuwa kama hakuna wa kukushika mkono kwenye industry basi "
only GPA will back up you kwenye ajira"

Huu hapa ushahidi, hatuongei Fyoko Fyoko chalii yangu:


View attachment 600365

View attachment 600367

Achana na hayo ma karatasi hapo juu... Elimu pesa, GPA mbwembwe tu.
Boy, unajua mie ni Engineer?? Achana na hawa ma Graduate Engineer, mie ni Proffesional Engineer kabisa nimesajiliwa na ERB na Reg No yangu ni PE17X2 (hapo kwenye X nimeficha kwa usalama wangu).

Sasa Chalii yangu nadhani mpaka hapa hujaelewa lengo langu nini au sio??
Haina kwere... Ngoja nimalizie verse yangu ya mwisho then Chorus utamalizia mwenyewe:


Boy, pamoja na Uinjinia wangu huu, ma GPA makali, kusoma ma spesho school, kutoka na ma Division One ya Point tatu secondary (ngoja nikuoneshe na hii nilikua nimesahau Boy)

View attachment 600370

Umesikia chalii pamoja na hizo mbwembwe zote hapo juu, mshahara naopokea ulinifanya niwe moja kati ya Machaliii waliohisi kukata tamaa ya maisha duniani, kuichukia elimu, kuona kama kwenda shule nilipoteza muda wangu bure....
Mshahara unapata unawaza nitajenga lini, gari, sijui nioe mwaka huu sijui mwakani...

Chalii ulipokuja na idea yako ya [HASHTAG]#ForNoReason[/HASHTAG] ulitufungua mimacho yetu wengi sana...
Achana na kina Complex, Bavaria na Al-Watan waliokua tayari wanajua "Samthingi abauti Nathingi". Mie nilkua mweupe peeee....


Unajua hakuna siku nilochukia kama siku unamjibu boya Mberoya kuwa:
"Mshahara wako wa Mwezi mzima mie naupata ndani ya saa moja"

Achana na hiyo, kuna siku ukasema:
"Nikaingiza mshahara wa manager wa Bank, nikazima Laptop nikalala"

*****.... Chaliii namalizia verse yangu (usisahau kuimba Chorus):
Baada ya kutinga pale Mjengoni Jangid Plaza (session ya kwanza Group 2 nilikua napenda kukaa kiti cha mbele kabisa) last week nimeingiza mshahara wangu wa mwezi mzima ndani ya Week...
Ndio naanza chalii yangu, napambana nifikie point ya Kuingiza Salary yangu ndani ya siku tatu.
Japo Sina mpango wa kuacha kazi yangu sababu ndio Profession yangu (nimeisomea miaka 17 *****)
Ngoja nisave save ki salary changu niongeze kwenye Capital yangu boss...

View attachment 600380

Halafu yule Secretary wako yuko poa sana... Anapiga kazi fresh kabisa...
Nikifikia lengo langu la kuingiza Salary ndani ya siku tatu, nitakua nakurushia 10% umpe kila mwezi...

ONTARIO eeeeeh... Machalii wa Kijenge Juu wanakwambia we ni Nyoooko...

Mungu akubariki, Mungu ibariki TMT.
[HASHTAG]#ForNoReason[/HASHTAG]
dah, we jamaa ni kipanga, nilikua nakuonaga UD pale ila sijajua kama ni mkali wa desa, hongera kwa izo scores
 
Sijakusoma mkuu, tufahamishe na sisi huku tusafirie nyota
Hujamuelewa tu kijana huyo...!
Hapo ni kama amesimama mbele ya Altare anatoa ushuhuda kwa Nabii wao ONTARIO, akijaribu pia kuleta/kuvuta ushawishi kwa wafuasi wengine waroho wa Pesa za haraka (kwa kudanlodi tu)..

Hawa ndio wale wafuasi matapeli wa Forex na Bitcoin...!

Tuacheni tu na mchezo wetu wa Tatu Mzuka (Nguvu ya Buku)

NB: Kipato chochote kitakacho patikana kwa njia ya Kamari (michezo ya kubahatisha) na Mali zake zote, ni haramu na batili mbele ya Mungu.
 
Forex Trading inalipa sana kama utaifanya kwa kutumia akili na weledi uliofundishwa. Lakini hii biashara siyo kwa kila mtu. Hii biashara inafaida kubwa kwa watu wenye akili zao. Pambana ndugu utafikia tu malengo yako ya kutengeneza salary ya Manager kwa siku moja. Ontario amewafungua macho wengi sana.
 
Mkuu kwa hizo pass mark zako nouma aisee [HASHTAG]#Hongerasana[/HASHTAG] ..... kweli chuo hukwenda kushangaa mademu zaidi ya kula madesa mwanzo mwenga....

Umenifanya nikae chini nitafakari kwa kina sana kuhusu mpango wa kuingia forex rasmi... Na Hakika nimeona huu ndio muda muafaka wa kuingia katika ishu hii rasmii.....

Mkuu Cc: ONTARIO kijana wa nyumbani atakuja hapo Jangid plaza soon..... Naomba tupokeana vyema mkuu
Ontario kaja kivingine shauri yenu. Mwaka mpya staili mpya mkiliwa msije kuja kutia huruma hapa.
 
Hujamuelewa tu kijana huyo...!
Hapo ni kama amesimama mbele ya Altare anatoa ushuhuda kwa Nabii wao ONTARIO, akijaribu pia kuleta/kuvuta ushawishi kwa wafuasi wengine waroho wa Pesa za haraka (kwa kudanlodi tu)..

Hawa ndio wale wafuasi matapeli wa Forex na Bitcoin...!

Tuacheni tu na mchezo wetu wa Tatu Mzuka (Nguvu ya Buku)

NB: Kipato chochote kitakacho patikana kwa njia ya Kamari (michezo ya kubahatisha) na Mali zake zote, ni haramu na batili mbele ya Mungu.
Vitabu umeviona mzigo
Bora ucheze tatu mzuka haina vitabu, forex mziki mnene tuachie sisi.
Screenshot_20180102-122421.png
 
Chalii yangu sikia nikuchane....

We dogo nilisikia ulisema we ni mtu wa kutoka Musoma??
We ni mkurya, mjita? Achana na ukabila... Twende kwenye pointi...

Boy unajua mimi ni katika wale vijana tuliobahatika kumaliza ma vyuo tena kwa ma GPA makali tukiwa na theory kuwa kama hakuna wa kukushika mkono kwenye industry basi "
only GPA will back up you kwenye ajira"

Huu hapa ushahidi, hatuongei Fyoko Fyoko chalii yangu:


View attachment 600365

View attachment 600367

Achana na hayo ma karatasi hapo juu... Elimu pesa, GPA mbwembwe tu.
Boy, unajua mie ni Engineer?? Achana na hawa ma Graduate Engineer, mie ni Proffesional Engineer kabisa nimesajiliwa na ERB na Reg No yangu ni PE17X2 (hapo kwenye X nimeficha kwa usalama wangu).

Sasa Chalii yangu nadhani mpaka hapa hujaelewa lengo langu nini au sio??
Haina kwere... Ngoja nimalizie verse yangu ya mwisho then Chorus utamalizia mwenyewe:


Boy, pamoja na Uinjinia wangu huu, ma GPA makali, kusoma ma spesho school, kutoka na ma Division One ya Point tatu secondary (ngoja nikuoneshe na hii nilikua nimesahau Boy)

View attachment 600370

Umesikia chalii pamoja na hizo mbwembwe zote hapo juu, mshahara naopokea ulinifanya niwe moja kati ya Machaliii waliohisi kukata tamaa ya maisha duniani, kuichukia elimu, kuona kama kwenda shule nilipoteza muda wangu bure....
Mshahara unapata unawaza nitajenga lini, gari, sijui nioe mwaka huu sijui mwakani...

Chalii ulipokuja na idea yako ya [HASHTAG]#ForNoReason[/HASHTAG] ulitufungua mimacho yetu wengi sana...
Achana na kina Complex, Bavaria na Al-Watan waliokua tayari wanajua "Samthingi abauti Nathingi". Mie nilkua mweupe peeee....


Unajua hakuna siku nilochukia kama siku unamjibu boya Mberoya kuwa:
"Mshahara wako wa Mwezi mzima mie naupata ndani ya saa moja"

Achana na hiyo, kuna siku ukasema:
"Nikaingiza mshahara wa manager wa Bank, nikazima Laptop nikalala"

*****.... Chaliii namalizia verse yangu (usisahau kuimba Chorus):
Baada ya kutinga pale Mjengoni Jangid Plaza (session ya kwanza Group 2 nilikua napenda kukaa kiti cha mbele kabisa) last week nimeingiza mshahara wangu wa mwezi mzima ndani ya Week...
Ndio naanza chalii yangu, napambana nifikie point ya Kuingiza Salary yangu ndani ya siku tatu.
Japo Sina mpango wa kuacha kazi yangu sababu ndio Profession yangu (nimeisomea miaka 17 *****)
Ngoja nisave save ki salary changu niongeze kwenye Capital yangu boss...

View attachment 600380

Halafu yule Secretary wako yuko poa sana... Anapiga kazi fresh kabisa...
Nikifikia lengo langu la kuingiza Salary ndani ya siku tatu, nitakua nakurushia 10% umpe kila mwezi...

ONTARIO eeeeeh... Machalii wa Kijenge Juu wanakwambia we ni Nyoooko...

Mungu akubariki, Mungu ibariki TMT.
[HASHTAG]#ForNoReason[/HASHTAG]
Hahah aisee lkn kuna uzi umeanzisha unasema unataka kukopa mil 5 bank afu uache kazi kuna dili umeiona sehemu.

Vp kule forex kufikisha mil 5 imeshindikana nini hahah.
 

Similar Discussions

48 Reactions
Reply
Back
Top Bottom