Blandina Nyoni, You are tired, you deserve to be fired!

meningitis

JF-Expert Member
Nov 17, 2010
8,349
4,675
PART ONE 2010
dearest,the permanent Secretary in the ministry of health and social welfare:
I'm kindly asking you to resign for you have been a source of failure in the ministry performance.it has been about 1 month since you announce that different health sector graduates have to submit their C.Vs and relevant certificates for job allocation.I WONDER what is happening?what or where went wrong so far?
why should you step down:
1.there are millions of Tanzanians who are dying or at least suffering simply because there are no qualified health care providers
2.there are hundreds of doctors,nurses and pharmacists who fly away for greener pastures or rather due to the bureaucracy in your office
3.there hundreds of health care providers who change their profession just to avoid the ukiritimba in your office.
there are so many reasons why she has to stand down and let the newest(dotcom) generation perform the job fast.
here is the worst thing in your office:we know by names those who are watoto wa vigogo so far they have been allocated at different health care facilities especially in Dar(which according to your advertisement Dar was not a priority).why is this happening,why are you letting watoto wa wakulima who are willing and able to help their fellow Tanzanians suffer.
my recommendations:we know that the major success in our health system is due to the AIDS(misaada) and plans from developed world and United Nations(WHO) .your duty as ministry(Permanent secretary is the engine of the ministry) is to facilitate and making sure the common mwananchi gets the intended benefits.
Good question is: if it takes AGES to allocate health care personnel how can you ensure afya ya watanzania inaboreshwa.
lastly:take your bags and your belongings and leave our ministry.don't wait till Mr president says go AWAYYYY.
wanajamii nawasilisha!!!!!!


PART TWO 2012
wakuu poleni sana na misukosuko ya siku nzima ya leo.poleni kwa uchovu wa kelele kati ya madaktari na serikali.
pia tuwaombee wale wote waliotangulia mbele ya haki hata kama siku zao ziliandikwa lakini kwangu mimi inawezekana vifo vyao vimetokana na mgogoro huu.huko nyuma niliwahi kutoa post iliyokuwa inamtuhumu bi blandina nyoni na kumshauri ajiuzulu kwa sababu mambo yalikuwa hayaendi vyema pale wizarani.kama kuna uadui kati yako na wadau wengine wa sekta ya afya ni wazi hutaweza kutekeleza majukumu yako.kipindi kile kulikuwa na matatizo kadhaa lakini mojawapo ni kuchelewa kuajiri watumishi wa afya bila sababu za msingi,tatizo hili limerudia tena mwaka huu tena hali ni mbaya zaidi kuliko mwaka jana.mwaka jana watu waliajiriwa mwezi wa 10 na ushee lakini mwaka huu tangazo limetoka mwanzoni mwa mwaka huu.kwangu mimi huu ni uzembe wa wizarra yako hata kama hazina wana tatizo kama pinda alivyojaribu kukutetea jana.

Tatizo la allowance kwa interns
hili tatizo halijaanza leo,sio kwamba zilikuwa ndogo la!!ni kwamba hakuna utaratibu unaoleweka wa kuwalipa interns.yaani intern akishaondoka pale wizarani basi!!wizara haimkumbuki na huko alipokwenda hawamjali kwani sio muajiriwa wao(sijui pinda jana alifukuza kina nani).kinachotokea ni intern kuteseka kwa kukosa allowance au kufunga safari za kila siku wizarani ili apate allowance zake.nakumbuka mliwahi kuunda tume ya kutembela na kutambua matatizo ya interns nchini kote,iliyoongozwa na director wa BMC dr majinge,yule dokta wa private hospitals Dr pamela na dokta mmoja wa muhimbili Dr lembariti.sijui kama walikueleza nini lakini ninachoamini hukufanyia kazi maoni ya interns(jamani, mpaka watu wangoma huwa wanapitia steps kadhaa!!) na kama uliyafanyia kazi basi maoni ya interns hayakuletwa kwa usahihi.

Tatizo la interns waliogoma muhimbili

hivi kulikuwa na umuhimu gani wa kuwafukuza wale interns?na hata baada ya viongozi wa MAT kukushaurini kwamba interns wale warudishwe kwani walikuwa wanadai haki zao,nnyie mkaleta dharau.

Kuhusu madhara ya mgomo wa madaktari
siamini kama unvitumia vizuri vyombo vyetu vya usalama au unakurupuka katika kuamua na kushauri mambo.ki msingi uzembe wako umeleta maafa,watu wamekufa kwa kiburi au uzembe wako.
mwisho naendelea kusisitiza wewe ndiye engine ya uendeshaji wa wizara na kama watanzania walivyoshuhudia wizara yako imeshindwa kulihandle vizuri jambo lilokuwa dogo sasa limekua ni maafa.nina wasiwasi kuendelea kuwa na wewe kama katibu mkuu ni kukaribisha mabalaa na maafa makubwa ambayo hatujawahi kuyaona tanzania.

ni vyema sasa ukafanya maamuzi yatakayokupa heshima na msamaha kwa mungu. JIUZULU utapangiwa shughuli nyingine zisizogusa moja kwa moja maisha ya mwanadamu!!

nawasilisha...................



UPDATES:pinda atangaza kuwa katibu mkuu wizara ya afya bi blandina nyoni amesimamishwa kazi leo tarehe 9 feb 2012


muhimu(tarehe 9/feb/2012)
aliyeandika thread hii hana mahusiano na kikundi chochote cha siasa bali ni kijana mzalendo aliyemaliza miaka kadhaa ya masomo yanayohusu sekta ya afya.alipata tabu sana katika kupangiwa kituo cha kazi mara baada ya kumaliza masomo ukizingatia alikua na hamu kubwa ya kuanza kuwatumikia watanzania,aliwahi kuonja adha ya dharau na majivuno ya mama huyu pale wizarani(najua hawezi kukumbuka).hakukuwa na njia yoyote ambayo ingemuondolea machungu na athari za kisaikolojia kijana huyu zaidi ya kuja kupost thread hapa jf.
vilevile kijana huyu aliwahi kupata matatizo katika kudai posho zake mbalimbali pale wizarani, baadae alipata lakini aliamua kuonya juu ya ubovu wa wizara katika kushughulikia masuala ya namna hii.leo hii ni vyema akasheherekea ushindi kwa watanzania wote hasa wale wanaopita hapa jamvini.
 
Sasa kama fungu la mishahara halijatengwa atoe ajira tuu? Kila kitu ni mpango, huenda kama mishahara haikuwa kwenye bajeti wakafanya bajeti review kwenye Bunge la January 2011
 
Meningitis... punguza hasira uiweke vizuri... nadhani prolem ni zaidi ya Mama Nyoni!!

Wakati wewe unahangaikia ajira, wagonjwa wa ukimwi na hasa watoto wanalishia dawa

We are in transition na mambo yatakua sawa, wewe umesubiri mwezi unachanganyikiwa, kuna watu walipeleka CV BOT mwaka 2006 na hadi leo hawajawa vichaa

Change has come na tutegemee JK kutusikiliza
 
punguza hasira uiweke vizuri... nadhani prolem ni zaidi ya Mama Nyoni!!

Wakati wewe unahangaikia ajira, wagonjwa wa ukimwi na hasa watoto wanalishia dawa

We are in transition na mambo yatakua sawa, wewe umesubiri mwezi unachanganyikiwa, kuna watu walipeleka CV BOT mwaka 2006 na hadi leo hawajawa vichaa

Change has come na tutegemee JK kutusikiliza

najitahidi sana kuiweka hasira yangu chini.but we may agree on one thing i.e office za serikali zina ukiritimba so we should shout for them to work harder,sometimes tunamlaumu presdaa kumbe the root cause of the problem ni watendaji serikalini.
 
dearest,the permanent Secretary in the ministry of health and social welfare:
I'm kindly asking you to resign for you have been a source of failure in the ministry performance.it has been about 1 month since you announce that different health sector graduates have to submit their C.Vs and relevant certificates for job allocation.I WONDER what is happening?what or where went wrong so far?
why should you step down:
1.there are millions of Tanzanians who are dying or at least suffering simply because there are no qualified health care providers
2.there are hundreds of doctors,nurses and pharmacists who just fly away for greener pastures or rather due to the bureaucracy in your office
3.there hundreds of health care providers who change their profession just to avoid the ukiritimba in your office.
there are so many reasons why she has to stand down and let the newest(dotcom) generation perform the job fast.
here is the worst thing in your office:we know by names those who are watoto wa vigogo so far they have been allocated at different health care facilities especially in Dar(which according to your advertisement Dar was not a priority).why is this happening,why are you letting watoto wa wakulima who are willing and able to help their fellow Tanzanians suffer.
my recommendations:we know that the major success in our health system is due to the AIDS(misaada) and plans from developed world and United Nations(WHO) .your duty as ministry(Permanent secretary is the engine of the ministry) is to facilitate and making sure the common mwananchi gets the intended benefits.
Good question is: if it takes AGES to allocate health care personnel how can you ensure afya ya watanzania inaboreshwa.
lastly:take your bags and your belongings and leave our ministry.don't wait till Mr president says go AWAYYYY.
wanajamii nawasilisha!!!!!!

Nina Vijana rafiki zangu wamewai kufanya kazi na huyu mama. Wanasema ana matatizo na mapungufu yake kama walivyo viongozi wengi tu serikalini lakini huyu mama anawazidi utendaji wa kisasa watendaji wengi sana

Rafiki yangu alinimbia kama kuna kijana atashindwa kufanya kazi na huyu mama basi hawezi kufanya kazi na bosi yeyote katika serikali . Mabosi wengi wenye umri kama wa huyu mama ni wazito. Huyu mama yuko sharp. Kama itachukua mwaka ku alocate kazi za madaktari basi ujue angekuwepo mwingine ingekuwa miezi 18.
 
Good question is: if it takes AGES to allocate health care personnel how can you ensure afya ya watanzania inaboreshwa.
lastly:take your bags and your belongings and leave our ministry.don't wait till Mr president says go AWAYYYY.
wanajamii nawasilisha!!!!!!

sioni kama mwezi mmoja unatosha kupima uwezo wa katibu Mkuu mzima..................................Kwanza kama alitoa mwezi mmoja ujue ya kuwa angalau ana viwango ambavyo angependa jamii impime navyo hili anastahili pongezi................................halafu sina uhakika kama kazi ya katibu Mkuu ni kupangia wafanyakazi vituo vya kufanyia kazi...................................Ninahisi hujui majukumu ya Katibu Mkuu...........................................Pengine haya malalamiko utafanikiwa zaidi ukimwandikia yeye kama katibu Mkuu ili ayachunguze.....................Haitoshi kutuhumu juu ya watoto wa vigogo itabidi uambatinishe majina yao na ushahidi wa takwimu za ajira zao...................................Best wishes
 
najitahidi sana kuiweka hasira yangu chini.but we may agree on one thing i.e office za serikali zina ukiritimba so we should shout for them to work harder,sometimes tunamlaumu presdaa kumbe the root cause of the problem ni watendaji serikalini.
ni kweli kabisa

labda nikwambie tu, hata huyo mama si mkamilifu ila ana nafuu kiasi fulani
 
sioni kama mwezi mmoja unatosha kupima uwezo wa katibu Mkuu mzima..................................Kwanza kama alitoa mwezi mmoja ujue ya kuwa angalau ana viwango ambavyo angependa jamii impime navyo hili anastahili pongezi................................halafu sina uhakika kama kazi ya katibu Mkuu ni kupangia wafanyakazi vituo vya kufanyia kazi...................................Ninahisi hujui majukumu ya Katibu Mkuu...........................................Pengine haya malalamiko utafanikiwa zaidi ukimwandikia yeye kama katibu Mkuu ili ayachunguze.....................Haitoshi kutuhumu juu ya watoto wa vigogo itabidi uambatinishe majina yao na ushahidi wa takwimu za ajira zao...................................Best wishes

interesting! Yawezekana shughuli zimeingiliwa na general election.ushauri wangu jamaa aende wizarani kujua nini kinatokea.otherwise hii ni changamoto kwa wizara husika.si tunasikia watumishi wa afya ni wachache,basi wanapojitokeza tufanye utaratibu uwe haraka.
TUPUNGUZE HASIRA WAJAMENI
 
Sasa kama fungu la mishahara halijatengwa atoe ajira tuu? Kila kitu ni mpango, huenda kama mishahara haikuwa kwenye bajeti wakafanya bajeti review kwenye Bunge la January 2011

Meningitis amesema waliambiwa wapeleke cv zao wapangiwe vituo vya kazi, suala la bajeti hapa halipo. Nyoni ni mmoja ya watendaji wabovu kabisa katika serikali. Hakuna chochote huyu mama anachofanya bila ya kupindisha pindisha kwa manufaa yake binafsi.
 
Meningitis amesema waliambiwa wapeleke cv zao wapangiwe vituo vya kazi, suala la bajeti hapa halipo. Nyoni ni mmoja ya watendaji wabovu kabisa katika serikali. Hakuna chochote huyu mama anachofanya bila ya kupindisha pindisha kwa manufaa yake binafsi.

Blandina Nyoni ni mmoja kati ya wafanyakzi wa serikali ambao hawana ubaguzi, muadilifu na msikivu sana kwa shida za watu wa chini. Shutuma zote ulizozitoa juu yake nadhani ni za kutunga kwani kwa watu waliofanyana nae kazi watakubaliana na assessment yangu.In fact toka amepelekwa wizara ya afya uozo mwingi ameusafisha na it will be a pity kama atahamishwa kabla hajamaliza kusafisha uozo uliopo wizarani hapo!!
 
huyu meningitis nafikiri ni mmoja wa aidha recent graduates au mtu ambaye hajawahi ajiriwa serikalini katika wizara ya afya. naamini haujui utendaji kazi wa huyu mama, kwa taarifa yako na wengineo huyu mama ni miongoni mwa best PS MOH has ever had in the recent years. amejitahidi kuweka mambo mengi sawa wizarani, ukiritimba umepungua na kazi nyingi ziko safi, ila naamini mapungufu yapo kwa kila mtu ila huyu mama wengi tunapenda abaki wizarani kwa taarifa yako

anatakiwa atambue kuwa mwishoni mwa mwaka jana zoezi kama hili lilifanyika, waajiriwa walikuwa posted,lakini kwa bahati mbaya, kuna watu wizarani walighushi saini ya katib mkuu mama nyoni na wakawapangia watu vituo vya kazi kwenye wilaya mbalimbali. kwa taarifa yako, mama nyoni alipojua hivi alikasirika sana na kuna watu pale wizarani wanachunguzwa juu ya sakata hilo, sasa wewe unataka leo akurupuke tu kupanga watu ilhali kuna wasiomtakia mema na kughushi saini yake?

jengine zamani watu walikuwa posted hovyohovyo, matokeo yake watu wakawa hawaendi kwenye zile wilaya na mikoa waliyopangiwa,hivyo wizara mwaka huu imewaambie muindicate halmashauri tatu mnazopenda kufanya kazi, sasa wewe unatakiwa ujue mahitaji ya watumishi katika kila halmashauri hayafanani, wengine wanahitajika sana na wengine wanahitaji wachache katika kada fulani kwa hiyo zoezi lazima liendeshwe kwa umakini, msije mkajikuta kila anayeomba mnapeleka kanda flani tu,

pia usisahau kuna wilaya zingine hazikupeleka vibali vya maombi ya kazi wizarani, kwa hiyo wewe mathalani ni medical doctor AU NURSE MWENYE DEGREE AU NI PHARMACIST unaomba nafasi wilaya ya korogwe lakini iwapo korogwe haikupeleka maombi wizarani kuwa inamhitaji MD AU RN mwenye degree au pharmacist bali inawataka CO au AMO au nurse mwenye diploma au pharmaceutical technician tu unafikiri nani atakupeleka wewe MD , BSCN au PHARMACIST kwenye wilaya hiyo? Ninachomaanisha usifikiri sometimes kuwa wilaya fulani ina uhaba wa wafanyakazi na ukaanza kulaumu wizara haipeleki watu kule, bali tatizo linaweza kuwa kwenye wilaya ileile kwani makatibu wa afya wanaweza wasipeleke maombi ipasavyo ya ikama ya watumishi wizarani au kada flani flani wasiziombe,

so unatakiwa uelewe mambo badala ya kuwa mtu wa kukurupukarupuka wala huelewi ishu za kiserikali
 
Jamani sasa kama Mama Nyonihafai kwa kuangalia issue moja tuu then you need to be serious once more.
Kama hafai ebu pick somebody else tutoe kasoro zake apa!
 
dearest,the permanent Secretary in the ministry of health and social welfare:
I'm kindly asking you to resign for you have been a source of failure in the ministry performance.it has been about 1 month since you announce that different health sector graduates have to submit their C.Vs and relevant certificates for job allocation.I WONDER what is happening?what or where went wrong so far?
why should you step down:
1.there are millions of Tanzanians who are dying or at least suffering simply because there are no qualified health care providers
2.there are hundreds of doctors,nurses and pharmacists who just fly away for greener pastures or rather due to the bureaucracy in your office
3.there hundreds of health care providers who change their profession just to avoid the ukiritimba in your office.
there are so many reasons why she has to stand down and let the newest(dotcom) generation perform the job fast.
here is the worst thing in your office:we know by names those who are watoto wa vigogo so far they have been allocated at different health care facilities especially in Dar(which according to your advertisement Dar was not a priority).why is this happening,why are you letting watoto wa wakulima who are willing and able to help their fellow Tanzanians suffer.
my recommendations:we know that the major success in our health system is due to the AIDS(misaada) and plans from developed world and United Nations(WHO) .your duty as ministry(Permanent secretary is the engine of the ministry) is to facilitate and making sure the common mwananchi gets the intended benefits.
Good question is: if it takes AGES to allocate health care personnel how can you ensure afya ya watanzania inaboreshwa.
lastly:take your bags and your belongings and leave our ministry.don't wait till Mr president says go AWAYYYY.
wanajamii nawasilisha!!!!!!

can u mention some watoto wa vigogo?????? names....................
 
dearest,the permanent Secretary in the ministry of health and social welfare:
I'm kindly asking you to resign for you have been a source of failure in the ministry performance.it has been about 1 month since you announce that different health sector graduates have to submit their C.Vs and relevant certificates for job allocation.I WONDER what is happening?what or where went wrong so far?
why should you step down:
1.there are millions of Tanzanians who are dying or at least suffering simply because there are no qualified health care providers
2.there are hundreds of doctors,nurses and pharmacists who just fly away for greener pastures or rather due to the bureaucracy in your office
3.there hundreds of health care providers who change their profession just to avoid the ukiritimba in your office.
there are so many reasons why she has to stand down and let the newest(dotcom) generation perform the job fast.
here is the worst thing in your office:we know by names those who are watoto wa vigogo so far they have been allocated at different health care facilities especially in Dar(which according to your advertisement Dar was not a priority).why is this happening,why are you letting watoto wa wakulima who are willing and able to help their fellow Tanzanians suffer.
my recommendations:we know that the major success in our health system is due to the AIDS(misaada) and plans from developed world and United Nations(WHO) .your duty as ministry(Permanent secretary is the engine of the ministry) is to facilitate and making sure the common mwananchi gets the intended benefits.
Good question is: if it takes AGES to allocate health care personnel how can you ensure afya ya watanzania inaboreshwa.
lastly:take your bags and your belongings and leave our ministry.don't wait till Mr president says go AWAYYYY.
wanajamii nawasilisha!!!!!!
Ndugu yangu Meningitis nashawishika kuamini kwamba hoja yako imeongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia wa mambo. Pengine zipo tofauti binafsi kati yako na Mama Nyoni. Nisingependa sana utuingiza kwenye mtego wa kujadili hilo. Lakini kwa kuwa umepitia mgongo wa posting nitaelezea kidogo hilo. Kwa taarifa nilizo nazo, Wizara ya Afya na Ustawi imepewa kibali cha kupost zaidi ya watu 7,000 maeneo mbalimbali nchini. Kibali hiki kilitolewa mwezi Septemba 2010 na kinatakiwa kifanyiwe kazi ndani ya kipindi cha cha zaidi ya miezi 6 hadi tarehe 30 Juni, 2010. Mpaka juzi tarehe 16 Novemba jumla ya watu 4,339 walikuwa wameshapangiwa vituo vya kazi. Aidha, zaidi watu 1,000 tayari wamekwisha pata barua zao. Hivyo, utaona katika kipindi cha miezi miwili tayari ni zaidi ya nusu kazi imekwishafanyika. Unataka mama wa watu afanye nini zaidi ya hapo. Tatizo la watumishi wa afya linajulikana. Kwa taarifa nizijuazo Tanzania ina upungufu wa watumishi wa afya kwa zaidi ya 60%.Hili ni tatizo la kimfumo na wala halina uhusiano wa moja kwa moja na mama Nyoni. Hata hivyo, ni bahati mbaya kwako kwamba hujui mipango anayoisimamia kuinusuru hali hiyo. Kwa watu wa afya itakuwa vigumu sana kwao kuzungumzia mafanikio ya Wizara ya Afya bila kumtaja mama Nyoni. Hii haina maana ya kupuuza kazi za watangulizi wake la hasha! ila kwa nafasi yake na wakati wake amefanya mambo mengi ya kujivunia. Kama binadamu hawezi kukosa mapungufu, lakini kama mtu anaweza kufanya mazuri 9, tumlaumu kwa ajili baya moja? Nadhani busara ni kumpa moyo zaidi. Mama Nyoni ni mchapa kazi, upstairs yuko njema na ni mbunifu kwenda mbele. Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
 
pia usisahau kuna wilaya zingine hazikupeleka vibali vya maombi ya kazi wizarani, kwa hiyo wewe mathalani ni medical doctor AU NURSE MWENYE DEGREE AU NI PHARMACIST unaomba nafasi wilaya ya korogwe lakini iwapo korogwe haikupeleka maombi wizarani kuwa inamhitaji MD AU RN mwenye degree au pharmacist bali inawataka CO au AMO au nurse mwenye diploma au pharmaceutical technician tu unafikiri nani atakupeleka wewe MD , BSCN au PHARMACIST kwenye wilaya hiyo? Ninachomaanisha usifikiri sometimes kuwa wilaya fulani ina uhaba wa wafanyakazi na ukaanza kulaumu wizara haipeleki watu kule, bali tatizo linaweza kuwa kwenye wilaya ileile kwani makatibu wa afya wanaweza wasipeleke maombi ipasavyo ya ikama ya watumishi wizarani au kada flani flani wasiziombe,

so unatakiwa uelewe mambo badala ya kuwa mtu wa kukurupukarupuka wala huelewi ishu za kiserikali
Hapa naomba ieleweke kwamba, mwenye mamlaka ya kutoa vibali vya ajira katika utumkshi wa umma ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejementi ya Utumishi wa Umma.
 
Ndugu yangu Meningitis nashawishika kuamini kwamba hoja yako imeongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia wa mambo. Pengine zipo tofauti binafsi kati yako na Mama Nyoni. Nisingependa sana utuingiza kwenye mtego wa kujadili hilo. Lakini kwa kuwa umepitia mgongo wa posting nitaelezea kidogo hilo. Kwa taarifa nilizo nazo, Wizara ya Afya na Ustawi imepewa kibali cha kupost zaidi ya watu 7,000 maeneo mbalimbali nchini. Kibali hiki kilitolewa mwezi Septemba 2010 na kinatakiwa kifanyiwe kazi ndani ya kipindi cha cha zaidi ya miezi 6 hadi tarehe 30 Juni, 2010. Mpaka juzi tarehe 16 Novemba jumla ya watu 4,339 walikuwa wameshapangiwa vituo vya kazi. Aidha, zaidi watu 1,000 tayari wamekwisha pata barua zao. Hivyo, utaona katika kipindi cha miezi miwili tayari ni zaidi ya nusu kazi imekwishafanyika. Unataka mama wa watu afanye nini zaidi ya hapo. Tatizo la watumishi wa afya linajulikana. Kwa taarifa nizijuazo Tanzania ina upungufu wa watumishi wa afya kwa zaidi ya 60%.Hili ni tatizo la kimfumo na wala halina uhusiano wa moja kwa moja na mama Nyoni. Hata hivyo, ni bahati mbaya kwako kwamba hujui mipango anayoisimamia kuinusuru hali hiyo. Kwa watu wa afya itakuwa vigumu sana kwao kuzungumzia mafanikio ya Wizara ya Afya bila kumtaja mama Nyoni. Hii haina maana ya kupuuza kazi za watangulizi wake la hasha! ila kwa nafasi yake na wakati wake amefanya mambo mengi ya kujivunia. Kama binadamu hawezi kukosa mapungufu, lakini kama mtu anaweza kufanya mazuri 9, tumlaumu kwa ajili baya moja? Nadhani busara ni kumpa moyo zaidi. Mama Nyoni ni mchapa kazi, upstairs yuko njema na ni mbunifu kwenda mbele. Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.

ndugu yangu FM nashawishika kusema kuwa hoja yako imetawaliwa na nadharia zaidi kuliko uhalisia wa mambo.sina chuki yoyote dhidi ya mama nyoni.but ukweli ni kwamba yapo mambo mengi hayaendi sawa pale wizarani ambayo sitaki kuyataja kwa leo ila if you push me nitayaweka hadharani!naona umetoa data ambazo haziwezi kuaminika kwa sababu ukiulizia wizarani utaambiwa barua ziko kwa katibu mkuu zinasainiwa(kuanzia october 10....)ukiuliza ni lini mataraio ya kupata barua utaambiwa pitapita posta(kweli kwa technolojia tuliyonayo bado tunategemea kupitapita posta? kwa miezi sita ijayo!).idadi unayoisema ya watu waliopangiwa sijui umeitoa wapi,kwani hata website ya wizara haiwezi kuithibitisha(haina hizo data zako).kwa Tanzania ya sasa hatuhitaji kumpa moyo mtu bali tunatakiwa kutoa challenge especially tunapozungumzia swala la afya ya mtanzania.kwa kuwa inawezakana upo hapo wizarani basi tusaidie mchanganuo wa kushughulikia hizo barua,je ni wa kikanda,kimikoa,kiprofession,kindugu au ni first come first served.
 
Uadilifu wa Blandina Nyoni ni upi?

Alipokuwa Hazina aliingia "UBIA" na wahindi wa "SoftTec" na kuwapa tenda ya kusambaza "mifumo" ya Computer mpaka kwenye Halmashauri - Sina uhakika kama huu "mradi" bado upo "hai"! As it stands though, bado yupo kwenye payroll ya "SoftTec" .

Ni mla rushwa MKUBWA kama watendaji wakuu wa Serikalini - Hii inayosemwa kuwa nis "sharp", it is purely a cover-up!
 
bila shaka wewe ni yule mmama mbaya asiyefaa, aliyekuwa waziri wa maliasili na utalii katika selikali iliyopita...kwasababu wewe ndo ulikuwa adui yake mkubwa mnagombania cheo/uwaziri. kwa kifupi, brandina nyoni ni bora mara mia kuliko wewe shamsia..nani sijui jina lako...hata kama kwasasa umekosa ubunge na unalialia kuomba kikwete akupe uwaziri tena....mwaka huu haupiti tena..umekwisha habari yako.
 
Back
Top Bottom