Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Mbona unamtishia mwenzako, wewe ni muhusika nini, huyu bwana anatupa information juu utendaji kazi wa serikali yetu wewe unamzima kuna nini??? Na wewe unayezima wenzako ni nani???Kaa ukijua pamoja na harakati zako za kuzima wenzako, ukombozi uko njiani karibu saana watu watakombolewa tuu!!!!Wakati tukiendelea kupokea na kung'amua vitendo mbalimbali vya ufisadi vilivyofanywa na Mapacha wawili wa Wizara ya Afya (Blandina Nyoni na Dr Deo Mtasiwa), habari nilizozinyaka leo kutoka kwa watumishi watatu na baadae nikadhibitishiwa na Mkuu wa Idara mmoja ambae yupo Wizara ya Afya, zinasema Katibu Mkuu na Mganga Mkuu wa Serikali waliosimamishwa kazi na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda bado wapo kazini na hata leo wamekuwepo Ofisini.
Habari zinasema kuwa wamekuwa katika heka heka za kuweka sawa nyaraka zao vizuri hasa zile zinahusu Manunuzi. Concern yetu hapa ni kwamba imekuwaje Pinda ameweza kuwadanganya Madaktari kuwa mahasimu wao wakuu Bi Blandina Nyoni na Dr Deo Mtasiwa amewasimamisha kazi tangu mchana wa Alhamisi ya tarehe 09/02/2010 wakati bado wameendelea kwenda ofisini hadi leo?
Hofu inayoibuka hapa ni kwamba kama wataendelea kwenda ofisini wakati tayari wamesimamishwa kazi na Waziri Mkuu katangaza kuwa wanachunguzwa na vyombo vya dola, Je hawawezi kutumia mwanya huu kupika au/na kupoteza nyaraka za serikali ambazo zingesaidia katika ushahidi? Na je Waziri Mkuu Mizengo Pinda, anamdanganya nani kwamba Blandana Nyoni na Deo Mtasiwa wamesimamshwa wakati bado wanaenda ofisini tena kwa kutumia V8 za serikali?[/QUOTE
Sasa ww ulitaka waende wapi? kwani unawafuatafuata walikufanya nn Mkuu? maana huu ni uzi wa pili sasa umefungua. Kwani ata wakienda Wizarani ww kina kuuma nn? kama nilivyokwambia katika ule uzi wako wa tuhuma za majungu kuwa wameshakugundua na dawa yako inachemka kwa ajili ya majungu ambayo umeyaanzisha, wametumwa waendelee na kazi ili kuja kuwatafuta wale wote waliosambaza majungu kutokea Wizarani (Inner circle), safari hii hamtaamishwa kupelekwa Milembe, nadhani kinachofuata unakijua. Sijui ulipoanza kazi pale Wizarani walikufanyia VETTING na kama ni ndio, unajua kitakachokupata. "Majungu si Mtaji"