KIJIKI
Member
- Jan 14, 2012
- 17
- 1
Unajua huyu mama sio kwamba anajua kitu kuhusu hawa viongoz anaowasema..bali kwavile anajua TZ hakuna msafi basi ameona akilopoka huo upuuzi wake kwa vile viongozi wetu wengi sio waadilifu basi wakiona ujumbe wake watapunguza makali ya kumfatilia...lakini bado hatakuwa msafi hata km kamati amabyo ikimchunguza itaongozwa na Lowassa hawezi kuwa msafi hata kidogo:juggle: