Taarifa kutoka chanzo cha karibu na Blandina Nyoni zinasema Kuwa aliyekuwa Katibu mkuu wa wizara ya Afya amesema anasiri nzito ya vigogo mafisidi wote wa nchi hii waliokwapua fedha hazina kupitia miradi na project feki katika kipindi chote alipokuwa Mhasibu Mkuu wa Serikali, amefunguka na kusema nchi hakuna kiongozi msafi kama kuchafuana tutachufuana wote na kama jela itajaa Viongozi wa juu wa serikali wasasa na wastaafu.
Taarifa zinasema amekasirishwa na Kauli za pinda na Mpambe wake Ghasia ambaye anakashifa za kutosha pale utumishi juu ya mishahara na project mabalimbali; Amewataka watanzania wakae mkao wa kupata waporaji wakubwa wa mali ya umma
Taarifa zinasema amekasirishwa na Kauli za pinda na Mpambe wake Ghasia ambaye anakashifa za kutosha pale utumishi juu ya mishahara na project mabalimbali; Amewataka watanzania wakae mkao wa kupata waporaji wakubwa wa mali ya umma