Blackberry torch inauzwa !

altaaf

Senior Member
Sep 15, 2009
189
67
Heshima kwa wote wanajamii !

Blackberry torch inauzwa ikiwa mpya kabisa na ni original ikiwa na 4gb memory card pia screen ikiwa protected , simu kutoka uk network ya asili ni orange bei ni laki 5 pia kuna na sony ericsson satio ambayo inauzwa laki 3 network ya asili ni t-mobile simu zote zimefunguliwa so unaweza kutumia mtandao upendao. Jumatatu panapo majaaliwa simu zitakuwa dar nimepata safari mara moja kwa wanao hitaji wasiliana kwa kupitia no hii 0713258615 ama tunaweza kuasiliana kwa kupitia hapa jamii.

Natanguliza shukrani !
 
Heshima kwa wote wanajamii !

Blackberry torch inauzwa ikiwa mpya kabisa na ni original ikiwa na 4gb memory card pia screen ikiwa protected , simu kutoka uk network ya asili ni orange bei ni laki 5 pia kuna na sony ericsson satio ambayo inauzwa laki 3 network ya asili ni t-mobile simu zote zimefunguliwa so unaweza kutumia mtandao upendao. Jumatatu panapo majaaliwa simu zitakuwa dar nimepata safari mara moja kwa wanao hitaji wasiliana kwa kupitia no hii 0713258615 ama tunaweza kuasiliana kwa kupitia hapa jamii.

Natanguliza shukrani !
Used au Mpya??!!

ni pm bei yake mkuu



Hivi wakuu huwa mnasoma bandiko kabla ya kuuliza hayo maswali yenu? Mbona majibu yote yapo kwenye bandiko la mwanzo?
 
Hivi wakuu huwa mnasoma bandiko kabla ya kuuliza hayo maswali yenu? Mbona majibu yote yapo kwenye bandiko la mwanzo?

kudos shakazulu sio tu hawa mwingine unampa form aisome halafu anakuuliza hii ni nini..
na kuambia wanaboa kama nini..
 
kaka ww mshukuru mungu tu uache hizi! manake walimu huko primary tulikopita walikua na kazi ya ziada!

Walimu walistahili kupewa mshahara mkubwa kuliko hawa viongozi kwa kazi nzuri waifanyayo.
OTIS.
 
Back
Top Bottom