Blackberry Storm 9500 haingizi charge

KyelaBoy

JF-Expert Member
Nov 9, 2008
206
22
Jamani Blackberry Storm 9500 yangu kila nikicharge haingizi charge yoyote inabaki kuwaka kwenye LED red tu,mwanzoni nilifikiri huenda betri imeisha ikabidi ninunue mpya na kuweka nikajaribu kuicharge matokeo ni kuona kitaa chekundu kikiwaka lakini hakuna charge,kwa hiyo imezimika kabisa,pia naomba kama kuna mtaalamu wa ku-unlock kwani huko juu ilikuwa imesajiliwa na Vodafone na hapa bongo nikitaka kutumia internate BIS ni Vodacom pekee ambako inafanya kazi lakini mimi ningependa niitumie internate kwa kutumia Zain,kwa hali ilivyo nashindwa kujiunganisha na Zaina kwenye BIS ,lakini kwa huduma ya kupiga simu ah kote mambo ni mswano(safi)
Tafadhali kwa anayeweza aniandikia na gharama kwa mfano kucheck kabla ya matengenezo,na gharama ya ku- unlock.
Asanteni ningependa gharama ziwe kwa Tsh sababu nipo bongo bana
 
Jamani Blackberry Storm 9500 yangu kila nikicharge haingizi charge yoyote inabaki kuwaka kwenye LED red tu,mwanzoni nilifikiri huenda betri imeisha ikabidi ninunue mpya na kuweka nikajaribu kuicharge matokeo ni kuona kitaa chekundu kikiwaka lakini hakuna charge,kwa hiyo imezimika kabisa,pia naomba kama kuna mtaalamu wa ku-unlock kwani huko juu ilikuwa imesajiliwa na Vodafone na hapa bongo nikitaka kutumia internate BIS ni Vodacom pekee ambako inafanya kazi lakini mimi ningependa niitumie internate kwa kutumia Zain,kwa hali ilivyo nashindwa kujiunganisha na Zaina kwenye BIS ,lakini kwa huduma ya kupiga simu ah kote mambo ni mswano(safi)
Tafadhali kwa anayeweza aniandikia na gharama kwa mfano kucheck kabla ya matengenezo,na gharama ya ku- unlock.
Asanteni ningependa gharama ziwe kwa Tsh sababu nipo bongo bana

i hope you are comfortable using a computer..,if not this will be trickier than normal!

u need to download a Blackberry OS from Crackberry .com,save it in your computer.(the installation file i mean)

then install the OS,as instructed.after this job is finished(ur blackberry must be disconected from the computer all the Time).then go to your computer OS installation drive,look for program files,then common files,then research in Motion,then APPLOADER.

here find a file named vendor.xml(a file that voda is using to manipulate ur internet usage).DELETE IT!!

after that connect your blackberry,install the new os since you will have a prompt to update a new os,try a new OS 5.0.xxx as its newer,faster,though with some bugs!

KAMA COMPUTER KWAKO NI MGOGORO mtafute unaemuamini,umuoneshe hii post!
 
Jamani Blackberry Storm 9500 yangu kila nikicharge haingizi charge yoyote inabaki kuwaka kwenye LED red tu,mwanzoni nilifikiri huenda betri imeisha ikabidi ninunue mpya na kuweka nikajaribu kuicharge matokeo ni kuona kitaa chekundu kikiwaka lakini hakuna charge,kwa hiyo imezimika kabisa,pia naomba kama kuna mtaalamu wa ku-unlock kwani huko juu ilikuwa imesajiliwa na Vodafone na hapa bongo nikitaka kutumia internate BIS ni Vodacom pekee ambako inafanya kazi lakini mimi ningependa niitumie internate kwa kutumia Zain,kwa hali ilivyo nashindwa kujiunganisha na Zaina kwenye BIS ,lakini kwa huduma ya kupiga simu ah kote mambo ni mswano(safi)
Tafadhali kwa anayeweza aniandikia na gharama kwa mfano kucheck kabla ya matengenezo,na gharama ya ku- unlock.
Asanteni ningependa gharama ziwe kwa Tsh sababu nipo bongo bana
Asante mzee, ngoja na mimi nijaribu, nilishaamini hivi vistorm 9500 ni vimeo maana vimetengenezwa kwa ajili ya vodaphone tuu. Kilipozima nilirudia limche langu la sabuni la Nokia E90. Nikifanikiwa nitashukuru
 
i hope you are comfortable using a computer..,if not this will be trickier than normal!

u need to download a Blackberry OS from Crackberry .com,save it in your computer.(the installation file i mean)

then install the OS,as instructed.after this job is finished(ur blackberry must be disconected from the computer all the Time).then go to your computer OS installation drive,look for program files,then common files,then research in Motion,then APPLOADER.

here find a file named vendor.xml(a file that voda is using to manipulate ur internet usage).DELETE IT!!

after that connect your blackberry,install the new os since you will have a prompt to update a new os,try a new OS 5.0.xxx as its newer,faster,though with some bugs!

KAMA COMPUTER KWAKO NI MGOGORO mtafute unaemuamini,umuoneshe hii post!

upo sahihi mkuu ila lazima awe na bbdesktop manager or run apploaeder for shortcurt ila kama unauzoefu na unachofanya usijaribu
 
Jamani Blackberry Storm 9500 yangu kila nikicharge haingizi charge yoyote inabaki kuwaka kwenye LED red tu,mwanzoni nilifikiri huenda betri imeisha ikabidi ninunue mpya na kuweka nikajaribu kuicharge matokeo ni kuona kitaa chekundu kikiwaka lakini hakuna charge,kwa hiyo imezimika kabisa,pia naomba kama kuna mtaalamu wa ku-unlock kwani huko juu ilikuwa imesajiliwa na Vodafone na hapa bongo nikitaka kutumia internate BIS ni Vodacom pekee ambako inafanya kazi lakini mimi ningependa niitumie internate kwa kutumia Zain,kwa hali ilivyo nashindwa kujiunganisha na Zaina kwenye BIS ,lakini kwa huduma ya kupiga simu ah kote mambo ni mswano(safi)
Tafadhali kwa anayeweza aniandikia na gharama kwa mfano kucheck kabla ya matengenezo,na gharama ya ku- unlock.
Asanteni ningependa gharama ziwe kwa Tsh sababu nipo bongo bana

Mkuu, simu yako umenunua wapi? Nina wasiwasi isije ikawa Chinese counterfeit phone, ukiangalia kwenye website ya brackberry sioni specification ya 9500, ebu tembelea hapa chni?
http://na.blackberry.com/eng/devices/blackberrystorm/
au hapa pia
http://worldwide.blackberry.com/landing.jsp?regionId=862
 
Baada ya kuweka kwenye charge itawaka led light iache kwa muda mrefu itaanza kuchaji,niliwahi kupata tatizo hilo lakini nikagundua chaji ya betri ikiwa less thn 5 % basi ni issue!
Betri ya blackberry storm haikai muda mrefu kama unatumia application nyingi kwenye simu,mie huchaji takriban masaa kumi!
 
Back
Top Bottom