<br />
<br />
Garantii ipo endapo simu itaonekana mbovu,sio uiharibu mwenyewe then uanze kudai garantii!Garantii ni wiki 1!Lakini ikipita hiyo wiki 1 na bado unahitaj msaada fulan kuhusu simu,utaruhusiwa kunipigia simu na utapewa huo msaada.Ahsante
Ni mpya mkuu, nitakupata wapi mwanangu hapa dar?