Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,288
Ilifail huenda iliwahi unajua time matters in everything
Kweli huenda maana right timing, perfect execution
Ilifail huenda iliwahi unajua time matters in everything
Ila nilikuwa nazipenda sana blackberry kwanini hawakuhamia hata kwenye apples IOS. Maana nakumbuka nilinunua blackberry passport baada ya wiki tuu ikaibiwa nikatumia two days kuitrack nakumpata mwizi wangu.
Ila aah sio utakuwa uamuz wa ovyo maana nani atanunua apple ya one grand wakat anapata xiaomi yenye battery life nzur na os ile ile ya iOS kwa bei cheap, wakifanya hivyo watafeli sana
apple wako kimkakati sana.wanajua kuna simu zinawazidi kila kitu isipokuwa wao wana IOS kama silaha ya mwisho.
Windows phone, blackberry anaefuata nani?
Android!
Anaiendeda njia ya waliomtangulia. iOS atakufa siku akipata match kwenye eneo lake!
Biashara ya kuunda simu na OS wanasema ni biashara ngumu sana. Samsung na kuwa giant lakini OS yake bado kwa miaka yote hajaiingiza sokoni ameishia tu kuitumia kwenye vifaa vingine.
Hilo ndilo nilimaanisha ndiyo maana nimetumia neno biasharaKuunda OS sio kazi sana, kazi ni kuwavuta developers wa kutengeneza apps kwa ajili ya hiyo OS yako, watumiaji wa OS yako wanataka simplicity na ecosystem nzuri