Rapture Man
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 439
- 145
Nimejiunga na huduma hii kwa shs. 17,500. Pesa wamekata lakini huduma sijapata licha ya kupata ujumbe toka airtel ukiagiza nitoe battery na kuiweka tena ndo ntapata huduma. Nimefanya hivyo lakini sijapata kitu.
Wadau mnasemaje juu ya hili? Nafanyaje kutatua hili tatizo. Au ndio nimeingia chaka?
Wadau mnasemaje juu ya hili? Nafanyaje kutatua hili tatizo. Au ndio nimeingia chaka?