LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,446
Hapo tu utaona utofauti wa nchi zetu na za wenzetuInakuwaje Huyu George Soros hakuuawa ....?
Hivi mtu kwa Hali ya Kawaida Unawez kuuzorotesha uchumi wa Tanzania kwa Mfano halafu wenye mamlaka Wakakuacha Hivi hivi kweli..... The bold
Badala mjue what happened na imekuwaje kawazidi akili watu mnaua...haifuti fact kuwa mmezidiwa maarifa