Unataka akujibu yamkute ya Kakobe?Umevuna milion ngapi ww hadi sasa?
Tuanzie apo kwanza
Unataka akujibu yamkute ya Kakobe?Umevuna milion ngapi ww hadi sasa?
Tuanzie apo kwanza
Naomba vitabu vya aina ya nyingine ya" betting " ukiacha hizi global financial market ili nisome,ukweli ni kwamba napenda sana aina hii ya betting ambayo maarifa yake yamehifadhiwa kwenye vitabu.Tatizo lenu mkiambiwa manacheza betting hamtaki apo ndipo kwenye tatizo kama mkikubali hatuna tatizo na nyinyi.
Forex is a total betting nani anabisha?
Tatizo lenu mkiambiwa manacheza betting hamtaki apo ndipo kwenye tatizo kama mkikubali hatuna tatizo na nyinyi.
Forex is a total betting nani anabisha?
Anyway...one's perception is one's understanding.... CheersHata kama malaika Gabriel nae anafanya Forex, haibadilishi fact kwamba Forex ni kamari.
Tofautisha fact na percepection, fact ni objective, perception ni subjective; its a 'fact' kwamba forex ni kamari, na kamari ni 'haram'.Anyway...one's perception is one's understanding.... Cheers
nani huyo anaendelea kukuuliza uliza kama forex sio Kamari? huyo ana uelewa kweli? fact ni moja tu Kamari ni forex na forex trading ni Kamari. unajua watu wengi hawana IQ kubwa kama yako wewe bwana francis da don. una akili sana wewe. nani huyo anakubishia kuwa forex trading sio Kamari. we una akili sana. idiotTofautisha fact na percepection, fact ni objective, perception ni subjective; its a 'fact' kwamba forex ni kamari, na kamari ni 'haram'.
!Hoja iko wapi hapo? Forex ni kamari, kamari ni haram, anza kubisha hapo.
Say whaat!!! hahaSome heads are too polluted to understand this kind of stuff!
Kamari doesn't need any schooling or class... Ingia sasa ujaribu kucheza hiyo kamari ya forex bila kusomaTofautisha fact na percepection, fact ni objective, perception ni subjective; its a 'fact' kwamba forex ni kamari, na kamari ni 'haram'.
forex ni mfumo wa kamari hakuna tofautiHalafu pia katika Psychology wanasema kwamba ile knowlegde ambayo tayari mtu yupo nayo kichwani inaweza kuwa kikwazo kwa mtu huyo kupata knowlegde nyingine. Na mara nyingi hii huwa inatokana na bad experience ambayo mtu aliipitia kipindi cha nyuma.
So wanaoidis forex either wanaichukulia kama kamari na wanaogopa kuingia sababu wanazijua fika pains ambazo mtu anaweza kuzipata kwa kucheza kamari. Au walishaingia katika forex before lakini wakaishia tu kuonja negative side ya forex ambapo ikawapa bad experience and hence wanafear kurudi tena kutokana na ile bad experience waliyoipata mwanzo(they don't know the positive side of forex).
What I can say is just try to release your mind so that you can perceive what the environment is telling you.
Haya ni mambo mazito kwako... Akili yako haiwezi kuyabeba... Siyo lazima ufanye.... Hata kama ingekuwa kamari we unaumia nn?forex ni mfumo wa kamari hakuna tofauti
kwani ww kinachokuma ni nini? kukuambia forex upo kwenye mfumo wa kamari au? sasa kama mm akili yangu haiwezi-ww mwenye akili yenye uwezo umeshindwa kutambua kitu kidogo kama hiki kuwa kipo kwenye kama mifumo ya kamali?Haya ni mambo mazito kwako... Akili yako haiwezi kuyabeba... Siyo lazima ufanye.... Hata kama ingekuwa kamari we unaumia nn?
Nani kasema kamari haihitaji schooling au kusoma?; hiyo ni definition mpya ya mwaka 2018?Kamari doesn't need any schooling or class... Ingia sasa ujaribu kucheza hiyo kamari ya forex bila kusoma
Ahahahah we jamaa nomaNani kasema kamari haihitaji schooling au kusoma?; hiyo ni definition mpya ya mwaka 2018?
View attachment 668541
Wapi wameandika kamari haihitaji kusoma? Las vegas kuna very complex betting games and machines ambazo bila kusoma huwezi kuzitumia kamwe!
hata benki kuu ya Tanzania BOT inafanya forex trading sasa wangekuwa na akili ndogo kama yako wangewezaji kuwa wanacheza Kamari na fedha ya walipa kodi.
Kama kila kitu kinachoinvolve probability duniani ni kamari, basi hakuna biashara ambayo itasalimika. Katika naomba usijitoe akili. Unless kama unaongelea probability and probability yenyewe ukawa huijui....kwani ww kinachokuma ni nini? kukuambia forex upo kwenye mfumo wa kamari au? sasa kama mm akili yangu haiwezi-ww mwenye akili yenye uwezo umeshindwa kutambua kitu kidogo kama hiki kuwa kipo kwenye kama mifumo ya kamali?
kitu chochote ambacho kina probability ya kutokea au kutotokea ni kamari-utofauti ni aina ya kamari