Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
wahabesh....lol
Mmmh bado mkuu hujafanya kitu, unatangaza black is beauty halafu wote kwenye picha ni light skin, tueelewe vipi?
madame x ukisia wanasema neno black america,usifikiri ni weusi kama lami au mkaaa,obama mwenyewe ni black,neno black ni sawa nakusema african,black/african ni neno moja
si wote kuna kenyan,wanyarwanda,ugandan na habesha ukisema habesh ni mwanaume
How black is black? Japo beauty ni zaidi ya skin color. Well, they are cute.
Najua hilo, kwahiyo asishutumu caroglight....
kwa iyo ulivyotoka kule Kigali ukapitia maeneo yote hayo?
Mmmh bado mkuu hujafanya kitu, unatangaza black is beauty halafu wote kwenye picha ni light skin, tueelewe vipi?
Umeona eeee??!! Siioni blaki byutii hapo
nyie mnajua black ni mtu aliyeoga kwenye pipa la lami,ina maana picha hizo nilizoweka siyo za warembo black?,basi ni wachina awo
Hahahaa.Hivi unaweza mwita Wema Sepetu black byuti?? hebu fikiria mwenyewe.Sio kila neno linatafsiriwa kama lilivyo..utapotea wewe..Kuna haja ya kutafuta dikshonare...