Black/dark spots ktk LCD ya Samsung Digital Camera!

wende

JF-Expert Member
Sep 6, 2009
714
65
Salaam kwa wana JF wote!
Nimekuwa na Samsung Digital Camera (ES70/Es71) kwa miaka miwili sasa. Juzi kuna my friend aliiazima ili akaitumie,nilimpa kwa nia nzuri tu. Cha ajabu ile kunirudishia nimeikuta Screen ya Camera ina madoa ya mviringo matatu meusi (black/dark spots) na nimemwuliza kulikoni?? Jamaa ananiambia naye anashangaa kusikia tarifa kama hiyo....in short ameniruka kabisa,si unajua wabongo??

Dokezo: Picha zinatoka vizuri tu!

Maswali yangu: Madoa haya yanatokana na nini? Je nitayaondoaje?
Yaani display ya hii camera imekuwa haipendezi sababu madoa haya ndo yanayotawala almost 1third ya the whole screen!

Nawasilisha.
 
hili tatizo liliwahi kutokea kwenye camera yangu Rollei.. Kuna jamaa ali fix ngoja nicheki namba zake halafu nitaku PM.
 
hili tatizo liliwahi kutokea kwenye camera yangu Rollei.. Kuna jamaa ali fix ngoja nicheki namba zake halafu nitaku PM.

Sawa,itakuwa ni vyema sana kama utanisaidia kwa hilo!
 
dah....uswahili kazi kweli....yaani unamuazima, anaharibu halafu anasema hajui?.....pole sana.....nadhani atakuwa amekufundisha kitu.....
 
dah....uswahili kazi kweli....yaani unamuazima, anaharibu halafu anasema hajui?.....pole sana.....nadhani atakuwa amekufundisha kitu.....
Ahsante sana! Ni kweli Preta,nishapata somo!
 
vipi mkuu ulishapata solution?/
huyo jamaa yako uliyemwazima alipulizia perfume, kwenye hiyo display thats why unaona hizo dots.. kuna mafuta anayo jamaa ambaye alinitengenezea ya kwangu. lakini kwa sasa yuko Mtwara mpaka tarehe 3 October... akirudi nitakujulisha
 
Back
Top Bottom