Bizman yupo wapi siku hizi?

06a7dae13414a5895686881236768926.jpg
 
Mishi! Mishi!
Hahaha...mziki wetu umetoka mbali sana.
Jamaa yupo ni mpiga keyboard mzuri sana hivyo hutumiwa na maproducer mbali mbali.

Kile kinanda cha nitoke vipi cha bwana misosi kagonga yeye..kwa kifupi nyimbo ile yote ina mkono wake..yuko vizuri..hata kibanda cha simu ya soggy doggy kila kinanda cha kulalamika kagonga yeye..bizzman kawatoa wengi sana japo sifa wamekua wakipata wamiliki wa studio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom