Bituro Kazeri: Uzalendo ni kuunga mkono kila jambo lifanyikalo katika Taifa na kutokosoa hadharani

Kaongea ukweli mtupu huwezi ukaisaliti nchi yako kwa kutafuta umaarufu wa kisiasa.

Makosa ya serikali ya awamu ya tano wewe kama mwanasiasa mzuri unaweza ukatumia kwenye kampeni za uchaguzi mkuu 2020.

Kwa sasa mwacheni Rais Magufuli atekelezee sera zake.
Akitaka kuheshimiwa aache kusigina katiba. Awe mfano mwema awe Raisi sio mwongea hovyo lugha za kuchefua wengine. Kama kuna hoja za kujibu afanye hivyo kwa staha. Akitukana mnaopenda kushangalia muache. Mkumbusheni kuwa akianzisha mipasho itamrudia, smg hazitoweza kunyamazisha. Badiliko lianzie kwake Mfalme. Amen.
 
Wakorea kaskazini Wako kimya au kuonekana kumuunga mkono Kim si kwa kuwa wanataka, kinachotokea ni madhara ya kuwa kwenye state of terror.

Kumbuka Kim aliwahi kumnyonga mjomba wake kisa amesinzia kwenye mkutano aliokuwa anahutubia.

Kama kosa la kusinzia linanyonga mtu ukipinga ama kukosoa watakufanyaje?

Tusipokuwa makini tunaweza kufikiswa huko.
Aliepo sasa kaua kaka (baba yao mmoja)yake aliyekuwa anakimbia manyaso nchini NK.
 
Amani ya Bwana iwe nanyi!

Kimantiki kuna hoja yenye kuhitaji tafakuri yakinifu.

Kwa mfano 'si raia wote wa Korea Kaskazini wanaomkubali Kiongozi wao, lakini wamejitoa mhanga kuhakikisha kile Kiongozi anakisimamia kinatekelezeka'.

Kwanini hatujiuzi kuwa wasomi wengi ambao wamepata maharifa yao kupitia kodi za wanyonge si wazalendo?
unaamini north Korea kuna demokrasia au uongozi wao unakaribiana na wa kwetu???
 
Kaongea ukweli mtupu huwezi ukaisaliti nchi yako kwa kutafuta umaarufu wa kisiasa.

Makosa ya serikali ya awamu ya tano wewe kama mwanasiasa mzuri unaweza ukatumia kwenye kampeni za uchaguzi mkuu 2020.

Kwa sasa mwacheni Rais Magufuli atekelezee sera zake.
Kwahiyo serikali kukopa mkopo wa riba kubwa inabidi tukae kimya tusihoji???
 
Kwahiyo serikali kukopa mkopo wa riba kubwa inabidi tukae kimya tusihoji???
Uzalendo unahusiana na UFAHARI (PRIDE) je uko tayari mkeo akwambie mbele za watu kuwa unalinga na gari la mkopo?
 
Bituro yuko sahihi kabisa. Ni wazalendo pekee ndio watamuelewa nini amemaanisha. Nyumbu na wapika dili hawatamuelewa katika hili. Tuwe wazalendo kwa nchi yetu jamani, kama ni kukosoa tutumie njia za staha na sio kuropoka na kusababisha mitafaruku isiyo ya lazima.
STAHA? Anaijua yeye? Wayakumbuka maneno aliyowatolea waliyokumbwa na tetemeko Bukoba? Na bila aibu malumumba mlivyomshangilia? Poleni sana.
 
Yani niliangalia kama dakika tano hivi nikaona ujengaji hoja ni wa ki la saba B nikahama fasta
 
Bituro yuko sahihi kabisa. Ni wazalendo pekee ndio watamuelewa nini amemaanisha. Nyumbu na wapika dili hawatamuelewa katika hili. Tuwe wazalendo kwa nchi yetu jamani, kama ni kukosoa tutumie njia za staha na sio kuropoka na kusababisha mitafaruku isiyo ya lazima.
Utakua ulipata F ya civics form two! au uliishia darasa la saba
 
Utakua ulipata F ya civics form two! au uliishia darasa la saba
Mnaojifanya wajuaji kama wewe ndio mnaliharibu Taifa, Wewe uliepata A ya civics au kwa hiyo PhD uliyonayo, hoja ndio unajibu namna hiyo? Ni nani sasa failure kati yako na mimi? Rudi kajipange mkuu, haya mambo hayahitaji kukurupuka.
 
STAHA? Anaijua yeye? Wayakumbuka maneno aliyowatolea waliyokumbwa na tetemeko Bukoba? Na bila aibu malumumba mlivyomshangilia? Poleni sana.
Tatizo lenu hamtaki kuambiwa ukweli. Nchi hii imefika hapa tulipo kwa kudanganyana na watu kama wewe ndio mnapenda kudanganywa. Ukweli humuweka mtu huru. Sasa niambie baada ya kauli ya Bukoba kuna mtu kafa na njaa? Au kuna mtu hadi leo analala nje? Walipambana na hali zao na hawakuwasikiliza nyie. Serikali inalo jukumu la kuweka miundombinu salama ili wananchi waitumie kwa faida yao. Rudi kajipange upya.
 
soma hii Mnasihi
Are Sociologists Patriots?

Having your patriotism questioned in public is one of the strangest things about being a sociology professor. I had only been teaching for a few months when I was floored by a student’s question. It was the first time I had heard the question, but it wouldn’t be the last. “You know what Professor Palmer? If you hate the United States so damn much, why don’t you just leave?” The words punched me in the gut. “What? I, um. That’s ridiculous,” I stammered.

I wanted to tell my class I love my country. I’ve never lived anywhere else. It has its problems, for sure, but this is the place where nearly all of the people I know and love live. The United States is my home and I am an American through and through. But instead of saying all of that I said, “I don’t know what you’re talking about,” and then moved on.

“Why do sociologists hate the United States?” I’ve fielded some variation of that question almost every year that I’ve taught. And now that I am experienced teacher I can understand why. Sociology as a discipline focuses a lot of attention on the inequalities and injustices of society. It’s easy to mistake being critical for hate and when we feel defensive it’s very easy to blow things out of proportion. From here it’s easy to feel that sociology as a discipline is unpatriotic, but this begs the question, what is patriotism in the first place?

A-mer-ica! Heck Yeah!

To some being a patriot means never doubting the greatness of or saying a negative word about your country. The political scientist Michael Parenti calls this superpatriotism. As Parenti summarizes on his website, “Superpatriots are those people who place national pride and American supremacy above every other public consideration, those who follow leaders uncritically, especially in their war policies abroad.”

Superpatriots have no tolerance for anyone who doesn’t believe the United States is the greatest country that has ever existed. Pointing out the social problems we face in the U.S. is a form of soft treason in their eyes. This mentality is encapsulated in the famous words of president George W. Bush, “you are either with us or against us.” I love this quote because it simultaneously illustrates the mindset behind superpatriotism and the dichotomous thinking superpatriotism is built upon.

How hype, fear, and mindless flag-waving are supplanting informed debate, commitment to democracy, and real patriotism.

Superpatriots are those people who place national pride and American supremacy above every other public consideration, those who follow leaders uncritically, especially in their war policies abroad. Superpatriotism is the nationalistic hype propagated by officialdom, the media, and various flag-waving groups.

Michael Parenti demonstrates how superpatriotism attaches itself to religion, sports, the military, the schools, and big business. He questions whether its top politico-economic propagators are themselves really patriotic, given how they evade taxes, export our jobs, pollute our land, and plunder the public treasury.

With incisive probing, fine style, and humorous touch, Parenti treats such urgent questions as: What does it mean to love one’s country? Why is it so important to be Number One? What determines America’s “greatness?” And are we really God's gift to humanity? He examines how US leaders and the corporate media fan the flames of fear to win support for huge arms budgets, global aggrandizement, and the suppression of political dissent at home and abroad.

Finally, Parenti poses an alternative to superpatriotism, arguing that the real patriots are those who care enough to educate themselves about our country’s history and its present plight. He reminds us that it is not “anti-American” to criticize unjust social conditions at home or oppose global policies pursued by our rulers. Rather it is our democratic right and patriotic duty to do so.


Schatz et al. also divide patriotism into two main types: blind and constructive patriotism, and these two types seem to line up almost perfectly with the situation described in the opening paragraph. In this paragraph, they describe the two types:

lind patriotism [is] a rigid and inflexible attachment to country, characterized by unquestioning postitive evaluation, staunch allegiance, and intolerance of criticsm. These factors comprise core elements lf Kelman’s “sentimental attachment” to country. In contrast, constructive patriotism refers to an annatchment to country characterized by “critical loyalty, questioning and criticism of current group practices that are driven by a desire for positive change. Both orientations are “patriotic” in the core sense of positive identficiation with feelings of affective attachment to country. However, the blind patriot views national criticism and dissent as inherently disloyal, whereas the constructive patriot does not. Instead, the constructive patriot may criticize and even actively oppose the nation’s actions because he or she believes they violate fundamental percepts or are contrary to long-term national interests. (p. 153)
Hivi kwanini mnapenda sana kucopy na kupaste vitu vya America? Hivi huijui sosholojia ya nchi yako? Waamerika waliijenga ya kwao tena karne nyingi zilizopita na hali ya wakati ule iliruhusu hayo kufanyika ili kuwajenga na kuwaweka pamoja. Hapa kwetu sosholojia yenu inatubomoa na kutusambaratisha kwasababu kakikundi ka watu wasiozidi 1000 wanataka kujifanyia watakavyo kwa watu milioni 50.
Hebu wakati mwingine ruhusuni akili zenu ziganye kazi kulingana na mahali na mazingita uliyopo na sio upo Tanzania lakini unatekeleza ya America! Hatutafika na hatufiki!
 
Tatizo lenu manyumbu hamtaki kuambiwa ukweli. Nchi hii imefika hapa tulipo kwa kudanganyana na manyumbu kama wewe ndio mnapenda kudanganywa. Ukweli humuweka mtu huru. Sasa niambie baada ya kauli ya Bukoba kuna mtu kafa na njaa? Au kuna mtu hadi leo analala nje? Walipambana na hali zao na hawakuwasikiliza wapumbavu kama nyie. Serikali inalo jukumu la kuweka miundombinu salama ili wananchi waitumie kwa faida yao. Rudi kajipange upya.
Kumbe shida yenu ilikuwa wafe kwa njaa na kulala nje? Hivi jirani yako akipata madhara unatakiwa kumwacha bika msaada wowote ili apambane nwenyewe? Mungu na wale wenye roho ya upendo waliwapigania na kuwaokoa katika shida ile. Ila usije tia mguu pale 2020 eti unawomba ukawadhalilishe kwa maneno yako ya shombo!
 
Tusipotia mguu sisi pale 2020 ni nani atatia mguu sasa? Mbona unaongea kama full kuchanganyikiwa mkuu? Ni nani anaongoza hii nchi hadi tuogope kwenda sehemu yoyote ya Jamhuri hii? Unaota wewe pamoja na wapumbavu wenzio mnaochochea kutoweka kwa utulivu. Na siku mkijichanganya tu mkatokea mtaani eti mnaandamana ndio siku yetu ya kuwatolea uvivu na hasira. Acha wananchi waendelee kupambana na hali zao. Wewe nenda kwenye ofisi yenu ya kukodi kachukue bando uendelee kutoa povu humu maana mnajifanya ni chama kikubwa na huku hamna hata jengo la nyasi mnalomiliki. Ruzuku zote na michango ya wagonjwa mnayokamuliwa inaliwa na wajanja tu na kazi yenu nyie ni kuwa misukule, pole sana kaka msomi.

Kumbe shida yenu ilikuwa wafe kwa njaa na kulala nje? Hivi jirani yako akipata madhara unatakiwa kumwacha bika msaada wowote ili apambane nwenyewe? Mungu na wale wenye roho ya upendo waliwapigania na kuwaokoa katika shida ile. Ila usije tia mguu pale 2020 eti unawomba ukawadhalilishe kwa maneno yako ya shombo!
 
Lyamber, hivi una amini serilaki ilikuwa haijui kuwa ndege imekamatwa? Na baada ya kusema kuwa imekamatwa nini kimetokea? Umaarufu usio na maana wala tija
Hukuona walivyokanyagana kujieleza. Hatimae walipa kodi wakapata haki na kupata habari walizokuwa wanafichwa.
 
Ndugu zangu wa mwanza ghafla tu wamekuwa wazalendo wanaopitiliza kwa serikali, kwa akili ya huyu bwana maana yake tuondoe vyama vya upinzani, tuondoe bunge, na ikiwezekana tuondoe vyombo vya habari tutengeneze kundi la washauri wa serikali..this is typical nonsense
 
Nayajua mengi kulikoni lakini sina platform ya kusemea kama wao! Na hii ni kwasababu fani zao zinawaruhusu. Laiti ningalikuwa mbunge kama wao, mbona nisingalifunga mdomo! Siwezi kuona upotofu wa kauli na matendo kisha niunyamazie eti ni uzalendo!
Kumbuka zile Newton's laws ni applicable hata kwenye siasa kwani tunatarajia matokeo chanya. Ukizignore ndio haya ya kuwaficha watu kama wewe kwenye mbawa za uzalendo ili usiseme lolote! Uzalendo kwangu ni uoga na unafiki!
Ndugu yangu, uzalendo wa huko lumumba ndio uoga na unafiki.
 
Back
Top Bottom