Bitoz: Namaliza mwaka vizuri !!!

Bitoz

JF-Expert Member
Aug 27, 2015
30,823
126,534
Wakuu nafikiri mpo poa
Naona zimebaki siku chache tumalize mwaka
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kuwashukuru wote walionipa sapoti hapa JF kuanzia January to December,kwangu huu ni mwaka super tofauti na 2015(mwaka niliojiunga)

Shukrani za pekee ziwaendee Jimena na Bailly5/Th Name ....hawa ndo maswahiba wangu wa mwanzo kabisa humu JF walinipokea kishikaji vilevile kwenye thread zangu nyingi walikuwa wachangiaji wakubwa na nikagundua swaga zetu zinafanana kuanzia timu tunazoshabikia hadi vituko vyetu, ndio maana nikashirikiana nao kuanzisha uzi uliokuja kuporomosha ufalme wa wakongwe chit chat wa Makapuku Forum.....nawashukuru sana

Pia namshukuru sana Mussolin5 ....Nimejifunza mengi kutoka kwa Mussolin( huwa namwita dikteta) jamaa alikuwa anaporomosha nondo zilizoshiba kupitia "Leo ktk Historia*" kwenye thread ya Makapuku jamaa kwa ishu za historia hana mpinzani
Jamaa yupo poa hana kwere na MTU(sijawahi kumuona akilumbana na mtu)

Pia.akinaJonax(kikofa),QUIGLEY,werrason,Shululu,(nasikia ni kaka ake Lulu) na wengine wengi (maanashindwa kuwataja wote)......Japo QUIGLEY mwanzoni ruliluwa tunakwaruzana kinoma lakini jamaa ni mvumilivu sana na hadi leo tupo peace

Nawashukuru pia members wote hapa JF pia nawashukuru na haters maana najifunza mengi kupitia kwenu.....maana wapo waliokazana kunichallennge
Nawakubali wote japo kuna baadhi ya wakongwe ambao nimegeuka kuwa adui yao mkubwa sababu ya kuanzisha vuguvugu la Makapuku,lakini sijali sana maana siwezi kupendwa na wote

Pia naomba niliowakwaza/wakosea wote wanisamehe na tuuanze mwaka 2017 tukiwa peace

Nawashukuru wote
Merry X & Happy New Year
7aac1c30dbed70b5fd71a3f70bef59d3.jpg



The Bitoz
 
Wakuu nafikiri mpo poa
Naona zimebaki siku chache tumalize mwaka
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kuwashukuru wote walionipa sapoti hapa JF kuanzia January to December,kwangu huu ni mwaka super tofauti na 2015(mwaka niliojiunga)

Shukrani za pekee ziwaendee Jimena na Bailly5/Th Name ....hawa ndo maswahiba wangu wa mwanzo kabisa humu JF walinipokea kishikaji vilevile kwenye thread zangu nyingi walikuwa wachangiaji wakubwa na nikagundua swaga zetu zinafanana kuanzia timu tunazoshabikia hadi vituko vyetu, ndio maana nikashirikiana nao kuanzisha uzi uliokuja kuporomosha ufalme wa wakongwe chit chat wa Makapuku Forum.....nawashukuru sana

Pia nawashukuru sana Mussolin5 ....Nimejifunza mengi kutoka kwa Mussolin( huwa namwita dikteta) jamaa alikuwa anaporomosha nondo zilizoshiba kupitia "Leo ktk Historia*" jamaa kwa ishu za historia hana mpinzani

Makapuku wote kina Jonax(kikofa),QUEGLY,Shululu(nasikia ni kaka ake Lulu) na wengine wengi maanashindwa kuwataja wrote......Japo QUEGLY mwanzoni ruliluwa tunakwaruzana kinoma lakini jamaa ni mvumilivu sana na hadi leo tupo peace

Nawashukuru pia members wote walionipa sapoti hapa JF pia nawashukuru na haters maana najifunza mengi kupitia kwenu.....maana wapo waliokazana kunichallennge
Nawakubali wote japo kuna baadhi ya wakongwe ambao nimegeuka kuwa adui yao mkubwa sababu ya kuanzisha vuguvugu la Makapuku,lakini sijali sana maana siwezi kupendwa na wote

Nawashukuru wote
Merry X & Happy New Year


The Bitoz
Mbona mkuu ile avatar yako pendwa umeitoa
 
Wakuu nafikiri mpo poa
Naona zimebaki siku chache tumalize mwaka
Dhumuni la uzi huu ni kutaka kuwashukuru wote walionipa sapoti hapa JF kuanzia January to December,kwangu huu ni mwaka super tofauti na 2015(mwaka niliojiunga)

Shukrani za pekee ziwaendee Jimena na Bailly5/Th Name ....hawa ndo maswahiba wangu wa mwanzo kabisa humu JF walinipokea kishikaji vilevile kwenye thread zangu nyingi walikuwa wachangiaji wakubwa na nikagundua swaga zetu zinafanana kuanzia timu tunazoshabikia hadi vituko vyetu, ndio maana nikashirikiana nao kuanzisha uzi uliokuja kuporomosha ufalme wa wakongwe chit chat wa Makapuku Forum.....nawashukuru sana

Pia namshukuru sana Mussolin5 ....Nimejifunza mengi kutoka kwa Mussolin( huwa namwita dikteta) jamaa alikuwa anaporomosha nondo zilizoshiba kupitia "Leo ktk Historia*" kwenye thread ya Makapuku jamaa kwa ishu za historia hana mpinzani

Makapuku wote kina Jonax(kikofa),QUEGLY,Shululu(nasikia ni kaka ake Lulu) na wengine wengi (maanashindwa kuwataja wrote)......Japo naQUEGLY mwanzoni ruliluwa tunakwaruzana kinoma lakini jamaa ni mvumilivu sana na hadi leo tupo peace

Nawashukuru pia members wote hapa JF pia nawashukuru na haters maana najifunza mengi kupitia kwenu.....maana wapo waliokazana kunichallennge
Nawakubali wote japo kuna baadhi ya wakongwe ambao nimegeuka kuwa adui yao mkubwa sababu ya kuanzisha vuguvugu la Makapuku,lakini sijali sana maana siwezi kupendwa na wote

Nawashukuru wote
Merry X & Happy New Year


The Bitoz
Umesahau kitu kimoja
 

Similar Discussions

14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom