Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,448
- 16,310
Bishop Zachary Kakobe Jumapili hii ya tarehe 12/05/2019 kuanzia mida ya saa sita mchana atatua ndani ya kanisa la ufufuo na uzima lililo chini ya Bishop Josephat Gwajima.
Hawajaweka wazi lengo la ziara hiyo japokuwa chanzo kinaweza kuwa skendo ya video chafu za Bishop Gwajima.
Hawajaweka wazi lengo la ziara hiyo japokuwa chanzo kinaweza kuwa skendo ya video chafu za Bishop Gwajima.