Bishop Dr Benson Bagonza: Maendeleo hayazuiwi na Vurugu tu!

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
TUTAFAKARI PAMOJA: Maendeleo hayazuiwi na Vurugu tu!

Watawala wengi hudai "bila amani hakuna maendeleo". Kwa hiyo hutumia kila nguvu kuleta amani na utulivu ili shughuli za maendeleo zifanyike. Hata hivyo, ziko kweli hizi:

1. Amani na utulivu ni vitu 2 tofauti.

2. Polisi waweza kuleta utulivu si amani.

3. Matumizi ya nguvu ili kuleta utulivu, huondoa amani

4. Nafasi ya amani huchukuliwa na hofu na kuleta utulivu wa kulazimisha.

5. Madhara ya hofu ktk maendeleo yanalingana na madhara ya ghasia katika maendeleo.

6. Kwa hiyo, hofu na ghasia vina nguvu sawa. Uzoefu unaonyesha, watu wenye hofu ni hatari kuliko wenye ghasia.

7. Amani ya kweli ni pale maadui au wapinzani, wanapoishi pamoja bila kumalizana.

Yanga ikitoweka, Simba haina maana tena wala mashabiki. Ngedere na mbwa wanapocheza pamoja, upinzani wao haujaisha bali wanaamua kuikubali hali wasiyoweza kuibadili.

Weekend njema.
 
TUTAFAKARI PAMOJA: Maendeleo hayazuiwi na Vurugu tu!

Watawala wengi hudai "bila amani hakuna maendeleo". Kwa hiyo hutumia kila nguvu kuleta amani na utulivu ili shughuli za maendeleo zifanyike. Hata hivyo, ziko kweli hizi:

1. Amani na utulivu ni vitu 2 tofauti.

2. Polisi waweza kuleta utulivu si amani.

3. Matumizi ya nguvu ili kuleta utulivu, huondoa amani

4. Nafasi ya amani huchukuliwa na hofu na kuleta utulivu wa kulazimisha.

5. Madhara ya hofu ktk maendeleo yanalingana na madhara ya ghasia katika maendeleo.

6. Kwa hiyo, hofu na ghasia vina nguvu sawa. Uzoefu unaonyesha, watu wenye hofu ni hatari kuliko wenye ghasia.

7. Amani ya kweli ni pale maadui au wapinzani, wanapoishi pamoja bila kumalizana.

Yanga ikitoweka, Simba haina maana tena wala mashabiki. Ngedere na mbwa wanapocheza pamoja, upinzani wao haujaisha bali wanaamua kuikubali hali wasiyoweza kuibadili.

Weekend njema.
Bishop ana kazi bado 7yr..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUTAFAKARI PAMOJA: Maendeleo hayazuiwi na Vurugu tu!

Watawala wengi hudai "bila amani hakuna maendeleo". Kwa hiyo hutumia kila nguvu kuleta amani na utulivu ili shughuli za maendeleo zifanyike. Hata hivyo, ziko kweli hizi:

1. Amani na utulivu ni vitu 2 tofauti.

2. Polisi waweza kuleta utulivu si amani.

3. Matumizi ya nguvu ili kuleta utulivu, huondoa amani

4. Nafasi ya amani huchukuliwa na hofu na kuleta utulivu wa kulazimisha.

5. Madhara ya hofu ktk maendeleo yanalingana na madhara ya ghasia katika maendeleo.

6. Kwa hiyo, hofu na ghasia vina nguvu sawa. Uzoefu unaonyesha, watu wenye hofu ni hatari kuliko wenye ghasia.

7. Amani ya kweli ni pale maadui au wapinzani, wanapoishi pamoja bila kumalizana.

Yanga ikitoweka, Simba haina maana tena wala mashabiki. Ngedere na mbwa wanapocheza pamoja, upinzani wao haujaisha bali wanaamua kuikubali hali wasiyoweza kuibadili.

Weekend njema.

PHD!

TANZANIAAAAAA
A BEAUTIFUL COUNTRY SOME PEOPLE DESTROY!
 
Ni kweli maendeleo hayazuiwi na vurugu tu, hata faru akivamia mazao kama korosho thamani ya shilingi inaporomoka na korosho za wakulima zinakuwa mbovu hazifai tena kuuzwa
 
siku ile walipokaa na Jiwe walikuwa wanaongea mara Biko, mara mchungaji wangu etc

Yaani badala ya kusema ata zaka imepungua, watu wanauawa, watu wanapotea, uchumi unaparaganyika wao wanamsifia Jiwe. Hawa viongozi wetu wa dini ni wajasiriamali tuuu hatuna watu wa kirohoView attachment 1031001

Sent using Jamii Forums mobile app


😅😅😅pua zao sasa zimetanuka balaa hajaj
 
Nikitafakari jumbe kama hizi....

Nazidi kumshukuru Mungu kuwa bado tunao watu wenye akili.!! Tumebikiza wachache sana wa kumwelewesha mfalme kuwa ni mtupu mbele ya kadamnasi..!!

BACK TANGANYIKA

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mimi naamini 60% ya Watanzania wanajielewa na wanaangalia tu ujinga unaofanyika wananyamaza ndio maana ukiitisha uchaguzi wa wazi hakuna hata uwezekano wa ccm kufikisha40% ya vote zote kwenye urais

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom