Ndugu zangu naomba msaada anataka ni anze biashara yaa hardware yaa electricity equipment, construction equipment, agriculture equipment, nataka nitoe kutoka china na Europe, nataka nianzishe hardware shop hiyo katika wilaya yaa tunduma or mjini sumbwanga, budget yangu sh m40, please advise me which city is good for this type of business ? how much profit I can make ? is this a profitable bussiness ?
Asanteni sana
Asanteni sana