Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Na mwandishi wetu.
Katika hali isiyotarajiwa wabunge wawili wa jamhuri ya muungano wa JamiiForums wamenaswa wakizichapa LIVE mbele ya ofisi za raisi mheshiwa invisible.
chanzo chetu cha habari kimesema kuwa chanzo cha ugomvi huo ni mabishano makubwa yaliyotokea kati yao kuwa nani ana ongoza kwa id nyingi bungeni hapo.kwa mujibu wa chanzo chetu wabunge hao walifikia hatua ya kutaka kwenda kumuuliza rais wa bunge ili aweke wazi lkn hali ilibadilika baada ya kufika karibu na ofis hzo na kuanza kudundana kongosho anasadikiwa kuwa na id 13 huku bishanga akithibitisha anazo 15.kwa sasa kongosho yupo zahanati ya St. Smile akiuguza jeraha lake kwani amengolewa meno 3,huku bishanga akishikiliwa na polisi. kamanda wa polisi insp. Paw amethbitisha kuwepo kwa mtuhumiwa huyo kituon kwake.
Katika hali isiyotarajiwa wabunge wawili wa jamhuri ya muungano wa JamiiForums wamenaswa wakizichapa LIVE mbele ya ofisi za raisi mheshiwa invisible.
chanzo chetu cha habari kimesema kuwa chanzo cha ugomvi huo ni mabishano makubwa yaliyotokea kati yao kuwa nani ana ongoza kwa id nyingi bungeni hapo.kwa mujibu wa chanzo chetu wabunge hao walifikia hatua ya kutaka kwenda kumuuliza rais wa bunge ili aweke wazi lkn hali ilibadilika baada ya kufika karibu na ofis hzo na kuanza kudundana kongosho anasadikiwa kuwa na id 13 huku bishanga akithibitisha anazo 15.kwa sasa kongosho yupo zahanati ya St. Smile akiuguza jeraha lake kwani amengolewa meno 3,huku bishanga akishikiliwa na polisi. kamanda wa polisi insp. Paw amethbitisha kuwepo kwa mtuhumiwa huyo kituon kwake.
Last edited by a moderator: