The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
Anautamani huo mgongo wako tu
hana la ziada.
Jamani huyu mtu anapenda kuchonganisha wapendanao hukimkuta kwenye thread ndo kazi yake.HUYU MR.HAPENDEKI HUYU
Ivuga kiwembe,we hujui? Yuko ka aspirin tu.We mwangalie kwenye thread ya IVUGA
Hua anaangalia na aina ya ndoa za kuchonganisha!cha kushangaza yeye ndoa hana,huko unga ltd katolewa nduki huku anapambanisha watu lol!@Bishanga oa utulie!
khee kumbe anavyojisifia ni uongo mi nilijua ana mke watoto,wajukuu,vitukuu na vilembwekeze kumbe hakuna kitu itabidi tumuoze ndoa ya mkeka labda gharama za harusi zinamshinda.ainkiller::boxing:
Naona mtu mzima anasutwa hapa..!
Skin tight,unaogopa nini love?Heh..ngoja nikavae skin tight na dera!
Hahahaha si mpaka,halafu wewe nshasikia mambo yako,kesho nayaanika hapa,everything about you and cantalisia.Hii sredi inatakiwa iwekwe kwenye sticky ili itumike kama fundisho kwa wale wote wenye tabia kama za Bishanga Abashaija...
Mods, du ze nidful...
Mapendo.
TANMO.
mwacheni bishanga jamani....aliniahidi vitz mpaka leo sijapata
Naskia ataka sutwa, namie ndo maana sichezi mbali na huu msuto!
Litakua suto la aina yake nadhani.
Bila shaka yakwako na mkuu Rejao ameishindwa kabisa.
Anautamani huo mgongo wako tu
hana la ziada.
hiyo hat yako mbona umeigawa vipande vipande sana,
kwanza mrudishe THEBOSS haraka najua umemhifazi
kwenye chupa hata haonekani tena, we mtoto mbona
una mambo/