Birthday za June

Ford Range

JF-Expert Member
Oct 13, 2016
310
474
Nimekuwa nikitembelea mitandao mbalimbali ya kijamii lakini kuna jambo linanishangaza kwa watu waliozaliwa mwezi June na wale wa May mwishoni wanaojiita Gemini, why wanajitangaza sana kila mahali, mara T-shirt, legend are bone on June, Queens are born on June, mbona promo kila mahali, bado kwenye post zao sasa Gemini, Gemini, mbona wako hivyo, hizo mbwembwe mbona hatuzioni kwa watu waliozaliwa miezi mingine? What is behind Gemini people, wataalam wa hizi mambo naomba ufafanuzi kama kuna kitu cha ziada kinachowafanya watu wa jamii hii ya Gemini kuwa na mbwembwe hizi.
 
Watu wa nyota ya Gemini(mapacha) ni waliozaliwa kati ya Mei 20 mpaka Juni 21.
Watu hawa huwa na character zinazofanana, baadhi ya tabia zao ni
1. Wanapenda kuonekana ni wajuaji
2. Wanapenda kuabudiwa
3. Huwa wanafanya vizuri sana katika maisha iwe kwenye muziki, michezo, uandishi n.k

Mfano wa watu wenye hiyo nyota ni
Tupac Shakur
Kanye West
John F Kennedy
Lady Jayd
Reginald Mengi
Steven Gerlad
Na wengine wengi.
Pia katika kila career wanayoifanya siku zote watu wa nyota hii huwa wa kipekee . Upekee huo waweza kuwa in Positive au Negative manner.

Na ndio maana huwa wanajinasibu " legend are born
in June".
 
Nimekuwa nikitembelea mitandao mbalimbali ya kijamii lakini kuna jambo linanishangaza kwa watu waliozaliwa mwezi June na wale wa May mwishoni wanaojiita Gemini, why wanajitangaza sana kila mahali, mara T-shirt, legend are bone on June, Queens are born on June, mbona promo kila mahali, bado kwenye post zao sasa Gemini, Gemini, mbona wako hivyo, hizo mbwembwe mbona hatuzioni kwa watu waliozaliwa miezi mingine? What is behind Gemini people, wataalam wa hizi mambo naomba ufafanuzi kama kuna kitu cha ziada kinachowafanya watu wa jamii hii ya Gemini kuwa na mbwembwe hizi.

All men are created equally but strong men are born in December.
 
Watu wa nyota ya Gemini(mapacha) ni waliozaliwa kati ya Mei 20 mpaka Juni 21.
Watu hawa huwa na character zinazofanana, baadhi ya tabia zao ni
1. Wanapenda kuonekana ni wajuaji
2. Wanapenda kuabudiwa
3. Huwa wanafanya vizuri sana katika maisha iwe kwenye muziki, michezo, uandishi n.k

Mfano wa watu wenye hiyo nyota ni
Tupac Shakur
Kanye West
John F Kennedy
Lady Jayd
Reginald Mengi
Steven Gerlad
Na wengine wengi.
Pia katika kila career wanayoifanya siku zote watu wa nyota hii huwa wa kipekee . Upekee huo waweza kuwa in Positive au Negative manner.

Na ndio maana huwa wanajinasibu " legend are born
in June".
mmmh. 27 may inahusika hapa? mbona siko hivyo! la sivyo cheti cha kliniki hakikuniacha salama
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom