Sea view,kwa MalecelaBashite hivi Yuko wapi?
Ulezi uliisha alipostaafu ukuu wa mkoaHuyu si ndiye mlezi wa WCB, wamesahau birthday ya dingi!
Kesi yake lazma upande wa kubenea akae Mtobesya na MalyaHii ndio tafsiri halisi ya Dunia Tambara bovu , Miaka yote ambayo Paulo Makonda amekuwa RC , siku kama ya leo ambayo ni siku yake ya kuzaliwa , vyombo mbalimbali vya habari , yakiwemo magazeti , redio na Channel za Tv ikiwemo WASAFI TV , ilikuwa hapatoshi , shangwe za birthday yake zilivuma siku nzima , waliacha kumuita jina lake , wakati huo akaitwa Baba Keegan .
Sasa leo baada ya madaraka kwisha , CHAWA WOTE WAMEPUKUTIKA utadhani wamepuliziwa Diazon , ile dawa kongwe ya kunguni ! ama hakika dunia duara kubwa sana . Hakuna cha Insta wala Twitter
HAPPY BIRTHDAY BABA KEEGAN
View attachment 2120368
Umejuaje hana raha na furaha?????Hali ni tete kwa Bashite.
Kwa sasa anaishi kwa tabu sana.
Hana raha wala furaha.
Hajui hata iende na midundo ipi.
Inategemea ulikuwa na tabia gani ! Kama ulikuwa unajisikia sana kweli utakuwa pekeyako! Lakini kama ulikuwa muungwana na haukuwa na dharau watu wengi tu watakuwa upande wako !Hiyo kawaida ukiwa na k2 utakuwa na marafiki kama wote cku v2 vkiisha ukigeuka nyuma humuoni hata m1.
Itategemea na tabia uliyokuwanayo wakati pesa ilipokutembelea, kama ulikuwa unajidai na pesa zako au wadhifa wako basi ujue ukiishiwa utabaki peke yako !!!Hapendwi mtu mpaka awe na kitu!!!!
Simple!!!!!
Paul Makonda a.k.a DAUDI ALBERT BASHITE zama zake zimekwishaHii ndio tafsiri halisi ya Dunia Tambara bovu , Miaka yote ambayo Paulo Makonda amekuwa RC , siku kama ya leo ambayo ni siku yake ya kuzaliwa , vyombo mbalimbali vya habari , yakiwemo magazeti , redio na Channel za Tv ikiwemo WASAFI TV , ilikuwa hapatoshi , shangwe za birthday yake zilivuma siku nzima , waliacha kumuita jina lake , wakati huo akaitwa Baba Keegan .
Sasa leo baada ya madaraka kwisha , CHAWA WOTE WAMEPUKUTIKA utadhani wamepuliziwa Diazon , ile dawa kongwe ya kunguni ! ama hakika dunia duara kubwa sana . Hakuna cha Insta wala Twitter
HAPPY BIRTHDAY BABA KEEGAN
View attachment 2120368
Ni laana kuwadhalilisha wazee !! " KARMA "
Maisha yana funzo kubwa sanaHiyo kawaida ukiwa na k2 utakuwa na marafiki kama wote cku v2 vkiisha ukigeuka nyuma humuoni hata m1.