HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Wana JF, Habari za leo?
Kwa muda sasa nimekuwa nikitafakari namna ambavyo kwa siku za hivi karibuni, watu wamekuwa wakiandaa hizi birth day parties ...
Kwa kifupi, wimbi kubwa limezuka la sherehe hizi ndogo kuaandaliwa na mpenzi/Mke/Mume na mara nyingi wazazi huwa hawashirikishwi na pengine hata kualikwa, ingawaje ni ukweli usiopingika kuwa wao ndiyo haswa waliotuleta duniani na ndiyo sababu kuu ya sisi kufanya birth day party.
Swali langu ni kuwa, ni right attitude kufanya birthday bila kuwaalika wazazi? Ni nani hasa anayepaswa kuandaa birthday; mzazi au mpenzi au unajiandalia mwenyewe? Na kama ni mpenzi ndiyo mwenye hilo jukumu, wazazi wana nafasi gani kwenye hiyo sherehe??
Wenu,
HP
Kwa muda sasa nimekuwa nikitafakari namna ambavyo kwa siku za hivi karibuni, watu wamekuwa wakiandaa hizi birth day parties ...
Kwa kifupi, wimbi kubwa limezuka la sherehe hizi ndogo kuaandaliwa na mpenzi/Mke/Mume na mara nyingi wazazi huwa hawashirikishwi na pengine hata kualikwa, ingawaje ni ukweli usiopingika kuwa wao ndiyo haswa waliotuleta duniani na ndiyo sababu kuu ya sisi kufanya birth day party.
Swali langu ni kuwa, ni right attitude kufanya birthday bila kuwaalika wazazi? Ni nani hasa anayepaswa kuandaa birthday; mzazi au mpenzi au unajiandalia mwenyewe? Na kama ni mpenzi ndiyo mwenye hilo jukumu, wazazi wana nafasi gani kwenye hiyo sherehe??
Wenu,
HP