SMU
JF-Expert Member
- Feb 14, 2008
- 9,616
- 7,863
Kwangu mimi naona birthday haina umuhimu wowote ule.
Na sioni mantiki ya kufanya birthday nikiwa kama mzazi sioni umuhimu wake maana sherehe ya kufurahi na mtoto wangu nae anajisikia ni x-mass, new year, pasaka na Idd
Kama alivyosema BelindaJacob, ni furaha kwa mzazi. Watoto wengi wanakufa chini ya umri wa miaka mitano. Hivyo kwa mwanao kuendelea kuishi, pekee ni furaha kubwa. Labda, kwa kuongeza wale wenye imani si vibaya,pamoja na sherehe, kufanya kitu cha kumshukuru mungu (kwa mfano wakatoliki unaweza ukaomba misa ya shukrani) ili kumjenga mtoto kiimani pia.
Fidel80, wewe una mtoto?