Ethos
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 2,294
- 2,057
Zamani kidogo kabla hii mitandao haijashika kasi ilikuwa ngumu sana kujua Birthday ya Bidada...
.. Ilikuwa kukumbuka birthday Yake na kumletea kazawadi ni njia ya kuonesha unamjali, unampenda, na kumkumbuka.. Hata usipompa kitu ilitosha kabisa..
Siku Hizi hali ni tofauti sana... Wanatangaza wenyewe kabisa.. Ukikuta mtu labda ni mwezi huu.. Mara utaona Birthday Loading, Queens are born in December etc... Hivi mnatangaza ili mpate zawadi nyingi??
.. Ilikuwa kukumbuka birthday Yake na kumletea kazawadi ni njia ya kuonesha unamjali, unampenda, na kumkumbuka.. Hata usipompa kitu ilitosha kabisa..
Siku Hizi hali ni tofauti sana... Wanatangaza wenyewe kabisa.. Ukikuta mtu labda ni mwezi huu.. Mara utaona Birthday Loading, Queens are born in December etc... Hivi mnatangaza ili mpate zawadi nyingi??