Mkuu Emma. ukiona kitu aghali au hakiendani na unavyodhania....wewe pita kimyakimya.......hiii ni kutokana na ulichokisema.....kimewakwaza wanunuaji wengi ikiwapo mimi nikiamini kuwa kuna sehemu zinzuzwa rahisi zaidi.....(na ambapo hujatuelekeza).....na zaidi, itampa wakati mgumu sana mshikaji kuuza bidhaa yake!
pengine ungefikiri kumwandikia in pm, labda ingemfanya na muuzaji kupunguza bei yake kulingana na ufahamu wako!
Uko sawa kabisa msese swala lililopo nikutaja bei hela ninyingi hata ikiwa miambil ninyingi na inaheshumika nimeweka bei ambayo twaweza kulewana tukafikia mwafaka ukanunua Mkuu kwan bei sio fixed
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.