Bird Flu

X-PASTER

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
11,610
1,809
Habari za kuaminika kutoka katika mkutano mkuu wa nchi za kiarabu, zinasema kuwa wamekubaliana kubadirisha bendera zao zote ambazo zina picha au Taswira ya ndege (Bird). Wameshauriana zibadilishwe kwa kuwekwa picha au alama ya vitu vingine kwa kuhofia picha hizo za ndege kupatwa na ugonjwa wa BIRD FLU au kwa kitaalam unajulikana kama Avian influenza.
Nchi ambazo si wanachama ikiwemo Uganda amabayo ilihalikwa kama msikilizaji, iliwakilishwa na balozi wao aliyekuwa Saudi Arabia. Balozi huyo amethibitisha kuwa hata wao wanahofia maradhi hayo kuingia Uganda kwa kuwa hata wao bendera yao ina picha ya ndege na wanabarozi katika nchi zilizo kumbwa na ugonjwa huo...
 
Habari za kuaminika kutoka katika mkutano mkuu wa nchi za kiarabu, zinasema kuwa wamekubaliana kubadirisha bendera zao zote ambazo zina picha au Taswira ya ndege (Bird). Wameshauriana zibadilishwe kwa kuwekwa picha au alama ya vitu vingine kwa kuhofia picha hizo za ndege kupatwa na ugonjwa wa BIRD FLU au kwa kitaalam unajulikana kama Avian influenza.
Nchi ambazo si wanachama ikiwemo Uganda amabayo ilihalikwa kama msikilizaji, iliwakilishwa na balozi wao aliyekuwa Saudi Arabia. Balozi huyo amethibitisha kuwa hata wao wanahofia maradhi hayo kuingia Uganda kwa kuwa hata wao bendera yao ina picha ya ndege na wanabarozi katika nchi zilizo kumbwa na ugonjwa huo...

What???!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom