Bado najaribu kufikiria ilikuaje mtu kama huyu akafungwa
Unapenda Sana mashati ya njano mkuu
Bwana mkubwa samahani unajishughulisha na nn maana naona kuna nguvu kubwa sana unatumia kupost issue ambazo dah sijawahikukuelewa kabisaaaaaaaaaaaa sorry lkn
I hate you.
Daaah! We mwamba unakera sana
Show zako una fanya kwa ghalama gani?? Ndani ya nchi? Na nje ya nchi??Najishugulisha na:
Show zako una fanya kwa ghalama gani?? Ndani ya nchi? Na nje ya nchi??
Nalimson nini?
Ukialikwa kuja ku perform. Kiasi gani kiandaliwe?!!!!Gharama itategemea na waandaaji. Kama nikiandaa mwenyewe kiingilio ni ni wewe na MKE WAKO au na mchumba wako kwa kuja na kununua CD na Vitabu vya Don Nalimison
Ukialikwa kuja ku perform. Kiasi gani kiandaliwe?!!!!
Unaandik kitabu, mkuuu. Utashare nasi, tukisomeMaelewano Ila kwasasa bado namalizia Kitabu kwanza ili nianze jumla jumla.
Ndiyo.