Hivi hizi nyimbo unarekodiwa bure au unatoa hela?
Hongera sana
Ashakuwa mwalimu, ashafanya siasa, ni mwana harakati, sahv anafanya mzikiBwana mkubwa samahani unajishughulisha na nn maana naona kuna nguvu kubwa sana unatumia kupost issue ambazo dah sijawahikukuelewa kabisaaaaaaaaaaaa sorry lkn
Yes,ushachangia JF bwege wewe?server ulisaidia kununua?
Jamaa namkubali sana maana harakati zake hazifichiki, kna watu humu wanamponda lkn wao wako kama maghost wao wamejificha, angalau jamaa anaonekana anapambania jambo fulani alafu ni humbleserver ulisaidia kununua?
Yes,ushachangia JF bwege wewe?
Jamaa namkubali sana maana harakati zake hazifichiki, kna watu humu wanamponda lkn wao wako kama maghost wao wamejificha, angalau jamaa anaonekana anapambania jambo fulani alafu ni humble
Ova
Ushauri wangu: mfute kazi haraka sana huyo graphics designer wako.
Ila karibu tena mkuu.
Mkuu nasikia best naso anahofia ujio wako
Umesahau pia alikuwa ni prisonerJf tuna matajiri wawili tu..
Don Nalimison A former teacher,Musician,politician, Human Rights Defendant,Comedian and other blah blah blah... Kiduku ajipange soon atakua #1
- Kiduku lilo
- Don Nalimison (Jack of all trade )
Ndiyo.
Eti huyu mtu kuna hakimu alimfunga jelaMzee wa shake hand,video yako you tube viewers bilioni moja..si mchezo
Hivi wadau mpaka tusikie huyu mtu kajinyonga ndio tujue ana tatizo?Psychiatrists mlioko humu ndani hebu chukueni hatua basi.