Biochemist J.Watson na Bw.Lowassa!

Kama Bw.Lowasa akifanikiwa kweli kukisambaratisha Chama na nchi kwa ujumla basi nitaamini kabisa ile Imani iliyojengwa na Dunia nje ya Bara la Afrika ya kwamba sisi watu wa Afrika (kusini mwa Sahara) tuna IQ ndogo sana kulingansiha na wengine .

(rejea maneno ya J.Watson Biochemist) kwa maana ukimuangalia Bw.Lowasa huyu ni simple mind tu, amesomea sanaa Chuo kikuu cha DSM na vikozi vya kuunga unga huko Uingereza hivyo anawezaje hata kuwa na uwezo wa kuitetemesha nchi wakati hata hayupo kwenye madaraka (kama ni kweli yanayosemwa kama siyo propaganda tu)?

Nasubiri kwa hamu hili linalosemwa kutokea, bado siamini ya kwamba mtu mmoja Bw.lowasa anaweza kuiangusha hii nchi, nchi iliyotoka mbali na kufika mbali kwamba inaweza tu kuja kutetemeshwa na mwana sanaa mmoja kutoka Kishumundu, kama Lowassa angekuwa A.Babu hapo ningeelewa au Salim A.Salim au hata Kambona (,,Apumzike kwa Amani")
Bahati mbaya saana nimekulia kitaaluma katika maabara aliyofanyia kazi Watson, Pale Cambridge university Na kuudhuria saana kwenye baa ambayo walikaa Na mwenzie baada ya kukugundia winding structure of DNA. Achana Na hayo. Nauli hii ilimfanya Watson afukuzwe kazi huko marekani. Mawazo haya hayana ukweli,tofauti ya waafrika in sub-saharan Africa Na ulaya/USA Ni mazingira tunayokulia,environment plays significant role in shaping our IQ. Unaweza kuwa Na IQ kubwa saana ila mazingira unayokulia yakaathiri uwezo wako e.g. Poor nutrition. Watson alisahau haya akafikiri kwamba IQ is a function of DNA but the environment counts alot. Unapochukua vitu karibu kuwa mwangalifu, elimu ya vyuo vikuu vya kata lazima iongezewe Na kusoma saana
 
Jimmy watson hana imani iyo,ila alijenga hypothesis ambayo haiko proven kitu ambacho ni kawaida kwenye science.na sio watu wa afrika ila ni watu weusi,na akaenda mbali kuongeza kwamba tutakua tunajihusisha na ngono zaidi kutokana na pathway ya kutengezwa melanin pigments inavyohusiana na androgens.

But aliomba msamaha na ameuza nobel yake aliyoipata ili aweze kujirudisha kwa jamii. Hii sio imani mkuu, muelewe jimmy na usaidie yy kurudi kwenye jamii.
 
Ninaomba leo hospitali zote leo zisifungwe kuna watu hawaamini kilichotokea mda huu.Hata mimi sina jinsi nitakufuata popote Lowassa.
 
Moi aliikamata Kenya kwa miaka ishirini na ushee wakati ni darasa la nane.
Idd Amin aliikamata Uganda hata darasa la tatu hakufika
Kabila wa DRC alisomea Mbeya Lutengano akafeli mtihani wa NACTE
Sheikh Karume hakua na degree achilia mbali ya usanii
Jacob Zuma anayetawala uchumi mkubwa Afrika ni drs la nne. Nchi yake ni ya kwanza kufanya heart transplant duniani.
Muamar Ghadafi aliyewaletea wananchi wake maendeleo makubwa mpaka nyumba, matibabu na elimu bure alisoma chuo gani ?
John Major aliyekua Pinda wa uingereza juzi juzi hapa hakua na degree achilia mbali na ya usanii. Uingereza ni nchi ya dunia ya kwanza.
Mijitu mingine inasoma kijitabu kimoja cha Shigongo inajiona imesoma. BURE KABISA
mkuu, kumwamsha mlalamacho ni kazi ngumu sana, naweza kusema hivi wengine wasikuchoshe yako ya msingi ya kujadili maana niliwahi kusema ni heri vipofu wa macho kuliko wa ubongo. LOWASSA ANAWAWEWESESHA
 
Bahati mbaya saana nimekulia kitaaluma katika maabara aliyofanyia kazi Watson, Pale Cambridge university Na kuudhuria saana kwenye baa ambayo walikaa Na mwenzie baada ya kukugundia winding structure of DNA. Achana Na hayo. Nauli hii ilimfanya Watson afukuzwe kazi huko marekani. Mawazo haya hayana ukweli,tofauti ya waafrika in sub-saharan Africa Na ulaya/USA Ni mazingira tunayokulia,environment plays significant role in shaping our IQ. Unaweza kuwa Na IQ kubwa saana ila mazingira unayokulia yakaathiri uwezo wako e.g. Poor nutrition. Watson alisahau haya akafikiri kwamba IQ is a function of DNA but the environment counts alot. Unapochukua vitu karibu kuwa mwangalifu, elimu ya vyuo vikuu vya kata lazima iongezewe Na kusoma saana

Kwahiyo wewe unasema ni uongo kwa kuwa umefika kwenye baa na maabara alipokuwa Dr.watson au una ushahidi mwingine kupinga madai ya Dr.watson?
 
Back
Top Bottom