LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,312
- 6,638
Wakuu poleni na pirika za kutwa nzima...binti yangu karudi nyumbani baada ya kumaliza masomo yake ya kidato cha sita,leo kuna swali kaniuliza sijamjibu hadi sasa hivi nakosa cha kumjibu,naombeni kwa mwenye uzoefu tubadilishane mawazo nione ingekuwa ndio kaulizwa yeye angemjibu nini mwanae
Majibu naomba yatoke kwa pande zote za akina mama na akina baba ili nipate kubalance mzani wa kipi cha kumjibu
Najua kuna watakaoshangaa lkn kwangu naona ni kawaida kutokana na jinsi nilivyomlea mwanangu,
swali lenyewe ni kama ifuatavyo;-
"Daddy,i just want to ask what things i need to know before being in relationship''
Mwisho wa kunukuu...
Majibu naomba yatoke kwa pande zote za akina mama na akina baba ili nipate kubalance mzani wa kipi cha kumjibu
Najua kuna watakaoshangaa lkn kwangu naona ni kawaida kutokana na jinsi nilivyomlea mwanangu,
swali lenyewe ni kama ifuatavyo;-
"Daddy,i just want to ask what things i need to know before being in relationship''
Mwisho wa kunukuu...