nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,620
Akimaliza masomo anaweza kuajiriwa kama nani ? na ina manufaa mapana ??
Ulipaswa kuomba ushauri b4 kufanya application .Akimaliza masomo anaweza kuajiriwa kama nani ? na ina manufaa mapana ??
Akimaliza masomo anaweza kuajiriwa kama nani ? na ina manufaa mapana ??
Hebu naomba uniambie course ya procurement and supply katika kujiajiri ,unafanya nn, au ataapply nn ,au application yake iko wapi kwenye kujiajiri?katika kuajiriwa au kujiariwa ipi nzuri Kati ya accountancy na procurement&supply
Akimaliza asome degree, akimaliza asome CPA, akimaliza atafute kazi, akimaliza atafute kazi, akimaliza atafute kazi, kazi kazi kazi...........
=========
Njia fupi: asome then ajiajiri.
Akimaliza asome degree, akimaliza asome CPA, akimaliza atafute kazi, akimaliza atafute kazi, akimaliza atafute kazi, kazi kazi kazi...........
=========
Njia fupi: asome then ajiajiri.
Unaziamini profile za jf?umezaliwa Mar 5, 1991 (Age: 26) una binti anaenda diploma hongera