Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
A. Utamtafutia mahali ili aitoe?
B. Utamsaidia kuitunza na kulea mjukuu ili arudi shule?
C. Utamshakizia (kumfukuza) kwa familia ya kijana awajibike?
D. Utamkatishia masomo ili alee mtoto wake?
Itakuwaje kama mtu akiyempa mimba ni wa karibu sanakatika familia yako?
B. Utamsaidia kuitunza na kulea mjukuu ili arudi shule?
C. Utamshakizia (kumfukuza) kwa familia ya kijana awajibike?
D. Utamkatishia masomo ili alee mtoto wake?
Itakuwaje kama mtu akiyempa mimba ni wa karibu sanakatika familia yako?