Binti wa TB Joshua kuolewa Arusha

Yaani wewe jamaa hujui lolote unatapika tu ni petroleum engineer jamaa anapiga mzigo pale gasprom naija delta sasa unakuja na bla bla kibao jamaa anakwenda kusali tu kama waumini wengine acha akili zakuambiwa
... kwani ukiwa mwanakwaya kanisani huruhusiwi kuwa na profession nyingine bro? Kwaya ni kazi ya kujitolea tu isiyo na mshahara.
 
Mbona hii ilishafanyika huko Nigeria mtoa mada acha kuhadaa watu ,Kanisa katoliki Njiro ya Wapi Duh
Tulia Mzee, inafanyika sasa ya Kikatoliki
IMG-20210430-WA0056.jpg


Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Binti pekee wa mhubiri wa kimataifa wa Naijeria, Temitope Joshua almaarufu TB Joshua, anafunga ndoa jumamosi hii tarehe 8/5/2021 jinini Arusha.

Binti huyo ajulikanae kwa jina la Serah anaolewa na kijana wa kichaga anaeitwa Brian Moshi. Ndoa itafungiwa kanisa la RC- Unga Limited na kufuatiwa na tafrija ya kukata na shoka pale AICC. Bado haijajulikana kama TB Joshua atahudhuria harusi hiyo, na pia hatujajua kama itakua na bia au ni mwendo wa nyuki.

Kwa sheria za kikatoliki, monde ni part and parcel ya tafrija na hasa ukizingatia kabila la muoaji. Wote mnakaribishwa.
Mchaga kaona fursa, shenzi kabisa! Kaoa kwa malengo huyu, nilisoma kwenye mtandao kuwa T.B Joshua kamtoa dogo sana.

Wacha niitafute

 
Binti pekee wa mhubiri wa kimataifa wa Naijeria, Temitope Joshua almaarufu TB Joshua, anafunga ndoa jumamosi hii tarehe 8/5/2021 jinini Arusha.

Binti huyo ajulikanae kwa jina la Serah anaolewa na kijana wa kichaga anaeitwa Brian Moshi. Ndoa itafungiwa kanisa la RC- Unga Limited na kufuatiwa na tafrija ya kukata na shoka pale AICC. Bado haijajulikana kama TB Joshua atahudhuria harusi hiyo, na pia hatujajua kama itakua na bia au ni mwendo wa nyuki.

Kwa sheria za kikatoliki, monde ni part and parcel ya tafrija na hasa ukizingatia kabila la muoaji. Wote mnakaribishwa.
Kwani TB Joshua mwenyewe anasemaje?
 
mwaume mzuri kuliko bi harusi. Hapa ndio unakuja usemi wa gold-digger
Siku zote wanaume wenye muonekano mzuri hupendwa na wanawake wa aina hiyo. Halafu wale wenye muonekano kama wa Remmy Ongala au Mzee Wasira, hao sasa ndiyo hupendwa na Pisi Kali.
 
Binti pekee wa mhubiri wa kimataifa wa Naijeria, Temitope Joshua almaarufu TB Joshua, anafunga ndoa jumamosi hii tarehe 8/5/2021 jinini Arusha.

Binti huyo ajulikanae kwa jina la Serah anaolewa na kijana wa kichaga anaeitwa Brian Moshi. Ndoa itafungiwa kanisa la RC- Unga Limited na kufuatiwa na tafrija ya kukata na shoka pale AICC. Bado haijajulikana kama TB Joshua atahudhuria harusi hiyo, na pia hatujajua kama itakua na bia au ni mwendo wa nyuki.

Kwa sheria za kikatoliki, monde ni part and parcel ya tafrija na hasa ukizingatia kabila la muoaji. Wote mnakaribishwa.
Tb Joshua ana watoto wanne na wote ni wa kike.Hivyo huyo sio binti yake pekee.Tb Joshua hana mtoto wa kiume hata mmoja.
 
Ilishafungwa, ndo nawashangaa!
Tena you tube ipo!
Haikuwa ya kimila ya church kabisa!
Na hata wageni walikuwa wachache,sherehe ndogo tu!
Ila huku kwa mwanaume lzm waje pia!
Pole sana, najua Catholic notions mlizowekewa kichwani ndio inakutesa! Hawakufunga Church, sasa ndio inafungwa rasmi! Nafikiri unajua pia Kanisa Katoliki halifungi ndoa kiholela kuna hatua za makubaliano kama watoto kuwa Wakatoliki n.k na lazima prophet anajua na ameridhia.
 
Petroleum engineering upate muda wa kwaya tokea lini?
... kwa hiyo unadhani wanakwaya wote makanisani hawana busy schedule kuliko petroleum engineers? Kama huwezi kupangilia muda wako sio kila mtu hawezi kufanya hivyo!
 
Wewe kaa kwa kutulia hujui lolote wewe kwanza kwaya ni wito na muda siyo kila mtu anaweza kumudu kuimba kulingana na mazingira yaani ujue hilo, hapa baltimore niache kufanya kilichonileta nikaimbe kwaya? wakati nyumbani sikuwahi! Kujua sehemu yakuabudu ni muhimu kuliko unachokiwaza wewe. Sasa endelea kutetea hoja yako mfu maana sikutaka kuchambua waimba kwaya sababu wanamtumikia mungu,Nawasilisha.
... kwa hiyo unadhani wanakwaya wote makanisani hawana busy schedule kuliko petroleum engineers? Kama huwezi kupangilia muda wako sio kila mtu hawezi kufanya hivyo!
 
Huyu muoaji namjua kwao mambo safi,wala hawana njaa..babake na mamake huwa wanafuatana kama Chai na sukari ibadani, kila MTU anavutiwa nao kwakweli ile ndoa kwa nje ni mfano sijajua kwa ndani ,wako Ungalimited Arusha parokia ya moyo safi wa maria huyu mama anakuwa kama ana asili Fulani au alichanganya damu ya kizungu ni mweupe pee anatupia viwalo balaa mke ya Rais weka pembeni...kuna na binti yao ni kisu hatare yaani wale wa kuogopwa...Mama ni mwekahazina wa parokia....huyo mama aliyevaa kofia ya malkia Elizabeth ndio mama wa kijana baba wa kijana huyo ambaye hajavaa suti nyeusi kwenye cake acheni wivu jamaa yuko njema.
Huyu jamaa yupo njema. Kuna testimony aliitoa scoan mwishoni mwa 2015 alionyesha picha ya mjengo wao na magari.
 
Mchaga kaona fursa, shenzi kabisa! Kaoa kwa malengo huyu, nilisoma kwenye mtandao kuwa T.B Joshua kamtoa dogo sana.

Wacha niitafute

Aiseee nimesoma hapo story yake..Kumbe yy ndo alitransform maisha ya kwao baada ya maombezi ya His Father Inalaw?
 
Back
Top Bottom