Kijana wa kichagga atayabeba kweli kweli! Huwa hawa jamaa si watu.
Kijana wa kichagga atayabeba kweli kweli! Huwa hawa jamaa si watu.
Ewaaaa (kwa sauti ya papaa mobimba koffi olomide).Dhehebu ni la baba yake. Yeye kama yeye kakolea kwa chalii ya ara
hahaaaa nenda uanze kusali parokia ya moyo safi wa maria Ungltd Arusha Mimi siko huko tena mkuu....zamani sana.Mkuu vp unaweza kwa bahati ukajaaliwa kuwa na namba ya huyo binti na Mungu akubariki?
Sio hivoTbjoshua?
Tangu vovid imeingia walisitisha kupokea wageni,mpk atakapotoa utaratibu tena.
Yaan binadam mwenzio anakubarikije..anaebarik ni Mungu tu.mbona nyie viumbe wa nyaka hiz mnaabudu wanadamu sana...au ni uelewaKwahiyo now tunakua na kaubaraka ka TN Joshua kama taifa .Ndo maana mkwe alikuja hadi Tanzania.
Jamaa sijui alikutanaje na hiyo manzi.. Watu na bahati zaoKukodi ukumbibwa mikutano ya UN hili ni jambo la kupongezwa! Hapo ni battle of the Billionaires!
Inasemekana wote waimba kwaya wa mzee TB JoshuaJamaa sijui alikutanaje na hiyo manzi.. Watu na bahati zao
.... anawinda fursa huyo! Hukawii kusikia kafungua branch ya makanisa yake na huyo bintiye ndiye director kanda ya Tanzania. Watu wako kistratejia zaidi kuliko hizo ndoa!Binti kawaogopa wapopo wenzie. TB Joshua mwaka huu kakaa sana Bongo tangu msiba wa mwendazake inaonesha anapapenda
Jamaa kawapiku waimba kwaya wenzake .. mshukaji alikuwa ni risk taker 😄😄Inasemekana wote waimba kwaya wa mzee TB Joshua
Eeh kaona akomalie tu hapo hapo kwa mzee Joshua! Ila itakuwa binti alijieleza kuwa huyu ndio anampendaJamaa kawapiku waimba kwaya wenzake .. mshukaji alikuwa ni risk taker 😄😄
Ikiwaga wakristo wote hakunaga tatizo hapo ni baadhi tu wagumu kuelewa hiloMtoto wa nabii anabadili dhehebu?
Hongera kwa chalii kusogeza chombo cha Nigeria (Naija)
Acha kamanda ajilie vyake.. sie ngoja tupambane na uswazi wetu 😄😄😄Eeh kaona akomalie tu hapo hapo kwa mzee Joshua! Ila itakuwa binti alijieleza kuwa huyu ndio anampenda
Eeh sie tuhangaike na akina Aisha tu hamna jinsiAcha kamanda ajilie vyake.. sie ngoja tupambane na uswazi wetu 😄😄😄
😂😂😂😂😂😂Eeh sie tuhangaike na akina Aisha tu hamna jinsi
Huyo jamaa kwao hela zipo tena mpunga wa maana. So hajaolewa mwanaume hapoMkuu sio hekaya tumeyashuhudia na tutazidi kuyashuhudia, kwa mwanaume unapoolewa na mwanamke inakuwa taabu sana.
Inasemekana wote waimba kwaya wa mzee TB Joshua
Sawa bro bora umeongea maana hata mie nilikuwa natafuta ukweli sema tu mbinu zangu ni za kijasusi zaidi 😂😂😂 asante kwa kuleta udau kaka!Yaani wewe jamaa hujui lolote unatapika tu ni petroleum engineer jamaa anapiga mzigo pale gasprom naija delta sasa unakuja na bla bla kibao jamaa anakwenda kusali tu kama waumini wengine acha akili zakuambiwa