Binti wa stationary anatafutwa haraka

Baghdad2016

Member
Jun 18, 2016
11
3
Natafuta binti mwenye uzoefu na Kazi za stationary wa kufanya Kazi kwenye stationery yangu ndogo awe ana vigezo vifuatavyo.

1.Awe anaishi Temeke.
2.Muaminifu
3.Speed ya typing (lazima)
4.Ajue kutumia computer programs vizuri na Kutumia photocopy machine
5.kutengeneza kadi za harusi na mialiko

Usipige simu tafadhali tuma ujumbe mfupi weka jina lako na uzoefu wako ktk Kazi hii.

0713454603

Mshahara sh 100,000 p/m
 
EMPOWER STATIONERY - THE UNIVERSITY OF DODOMA

TUNAPATIKANA MKOANI DODOMA KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA ALI MAARUFU UDOM

COLLEGE OF EDUCATION (COED)

ENEO LA UJASI

TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO:-

PRINTING - 50/=

PHOTOCOPY 25/=

SCANNING - 300/=

BINDING - 500/=

SPIRAL - 1500/=

INTERNET CAFE

PIA TUNA EDIT KAZI ZA MASTERS NA KUWEKA VIPIMO


UMEME NI WA UHAKIKA HATA UMEME UKIKATIKA TUNATUMIA SOLAR POWER

KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU

0752074090

0784387983

AU

e-mail empowerstationary@gmail.com

GODBLESS EMPOWER
 
Msichana WA stationery anahitajika....kama upo please n PM
 
Back
Top Bottom